Mnaokaa na wanawake mnawezaje?

Rahisi kuishi na hawa watu zingatia yafuatayo:
1. Usichoke kuwasifia.
2. Usipuuze vipaumbele vyao, ahidi tu hata kama huna uwezo wa kutimiza.
3. Usichoke kuomba msamaha hata kama hujakosea. Hata kama kakukosea wewe omba msamaha.
4. Usiwe mtu wa kukosoa zaidi zaidi sifia, kama haiwezekani tia moyo.
 
Mahusiano ya hvyo yanapatikana kwa wingi sana huko mbinguni
 
mambo yote nimfanyie yeye?_

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Kama mwanamke wako unakiri Hana shida.
Basi wewe utakuwa unatatizo la upungufu wa nguvu za kuime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…