Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Mtoa Mada huyu Ana mambo ya Ajabu Sana analazimishaje urafiki?Hayo yanaitwa matabaka(classes) kulingana na somo la fasihi ..na ni lazima ya exist kwenye jamii ..cha msingi fanya yanayokuhusu tu mzee baba/mzee mama
Sent using Jamii Forums mobile app