kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Niende 1kwa1 kwenye Moyo wa uzi wangu.. Kuna tabia Hua sipendi Sana katika maisha yangu, Unakuta mtu mlikua pamoja shuleni lakini kwa vile yeye akifanikiwa na Kua juu saiv anajifanya hata kupokea simu anona Kero.
Unakuta unampigia simu hapokei badae unampigia anapokea anakuambia alikua bize.. Na kingine Unakuta hakutafuti hadi umuanze yeye Mungu anakuona ndugu.
Ukijiona umefanikiwa bado Sana kama ambavyo unahisi maisha haya taratibu Sana tutafika tu.
Hata kama Sina kitu sipendi dharau nimetoa la moyoni asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta unampigia simu hapokei badae unampigia anapokea anakuambia alikua bize.. Na kingine Unakuta hakutafuti hadi umuanze yeye Mungu anakuona ndugu.
Ukijiona umefanikiwa bado Sana kama ambavyo unahisi maisha haya taratibu Sana tutafika tu.
Hata kama Sina kitu sipendi dharau nimetoa la moyoni asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app