The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,233
Leo nimeshindwa kuvumilia
waliotazama pambano la leo la Yanga na Coastal mtakuwa mashahidi
Goli la kwanza la Yanga offside ya wazi
halafu mchezaji wa Yanga mmoja akaenda 'kulipiza'
faulo mbaya sana ya makusudi kabisa akapewa kadi ya njano
badala ya nyekundu moja kwa moja
halafu Yanga goli la pili mchezaji wake aliushika kwa mkono
kwanza mpira......
Imesemwa mara nyingi Yanga inabebwa
lakini wahusika hawataki kusikia..kukweli hamuisaidii
mnazidi kuturudisha nyuma.....na ndo maana timu zetu zikienda nje
matokeo yanajulikana kabla.....
Kuna mechi Ya Ligi ya Yanga na Coastal pia ambapo Yanga alifungwa bao 2 bila
cha kushangaza refa akaongeza dakika kumi nzima
huku hakukuwa na tukio lolote la kulipia muda....
Hizo ni mechi mbili tu nimezitaja lakini wote tunajua kinachotokea...
hamuisaidii Yanga...mnaiumiza tu kiukweli....
waliotazama pambano la leo la Yanga na Coastal mtakuwa mashahidi
Goli la kwanza la Yanga offside ya wazi
halafu mchezaji wa Yanga mmoja akaenda 'kulipiza'
faulo mbaya sana ya makusudi kabisa akapewa kadi ya njano
badala ya nyekundu moja kwa moja
halafu Yanga goli la pili mchezaji wake aliushika kwa mkono
kwanza mpira......
Imesemwa mara nyingi Yanga inabebwa
lakini wahusika hawataki kusikia..kukweli hamuisaidii
mnazidi kuturudisha nyuma.....na ndo maana timu zetu zikienda nje
matokeo yanajulikana kabla.....
Kuna mechi Ya Ligi ya Yanga na Coastal pia ambapo Yanga alifungwa bao 2 bila
cha kushangaza refa akaongeza dakika kumi nzima
huku hakukuwa na tukio lolote la kulipia muda....
Hizo ni mechi mbili tu nimezitaja lakini wote tunajua kinachotokea...
hamuisaidii Yanga...mnaiumiza tu kiukweli....