Mnaoibeba Yanga hamuisaidii, mnaiumiza...

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,282
117,233
Leo nimeshindwa kuvumilia
waliotazama pambano la leo la Yanga na Coastal mtakuwa mashahidi

Goli la kwanza la Yanga offside ya wazi

halafu mchezaji wa Yanga mmoja akaenda 'kulipiza'
faulo mbaya sana ya makusudi kabisa akapewa kadi ya njano
badala ya nyekundu moja kwa moja

halafu Yanga goli la pili mchezaji wake aliushika kwa mkono
kwanza mpira......

Imesemwa mara nyingi Yanga inabebwa
lakini wahusika hawataki kusikia..kukweli hamuisaidii
mnazidi kuturudisha nyuma.....na ndo maana timu zetu zikienda nje
matokeo yanajulikana kabla.....

Kuna mechi Ya Ligi ya Yanga na Coastal pia ambapo Yanga alifungwa bao 2 bila
cha kushangaza refa akaongeza dakika kumi nzima
huku hakukuwa na tukio lolote la kulipia muda....

Hizo ni mechi mbili tu nimezitaja lakini wote tunajua kinachotokea...

hamuisaidii Yanga...mnaiumiza tu kiukweli....
 
Leo nimeshindwa kuvumilia
waliotazama pambano la leo la Yanga na Coastal mtakuwa mashahidi

Goli la kwanza la Yanga offside ya wazi

halafu mchezaji wa Yanga mmoja akaenda 'kulipiza'
faulo mbaya sana ya makusudi kabisa akapewa kadi ya njano
badala ya nyekundu moja kwa moja

halafu Yanga goli la pili mchezaji wake aliushika kwa mkono
kwanza mpira......

Imesemwa mara nyingi Yanga inabebwa
lakini wahusika hawataki kusikia..kukweli hamuisaidii
mnazidi kuturudisha nyuma.....na ndo maana timu zetu zikienda nje
matokeo yanajulikana kabla.....

Kuna mechi Ya Ligi ya Yanga na Coastal pia ambapo Yanga alifungwa bao 2 bila
cha kushangaza refa akaongeza dakika kumi nzima
huku hakukuwa na tukio lolote la kulipia muda....

Hizo ni mechi mbili tu nimezitaja lakini wote tunajua kinachotokea...

hamuisaidii Yanga...mnaiumiza tu kiukweli....
shida ya soka tanzania inaanzia kwa Malinzi

He has no moral authority ya kuongoza soka
 
shida ya soka tanzania inaanzia kwa Malinzi

He has no moral authority ya kuongoza soka


Yaani unaweza sema utazame mpira ukajikuta unakasirika kabisa
na ukajuta why umetazama

Mchezaji wa Yanga leo kachezewa faulo kainuka moja kwa moja kumpiga teke la kifua
mchezaji wa Coastal...halafu refa katoa kadi ya njano....yaani nimeshangaa sana
goli la kwanza kila mtu alijua ni offside ....
 
Leo nimeshindwa kuvumilia
waliotazama pambano la leo la Yanga na Coastal mtakuwa mashahidi

Goli la kwanza la Yanga offside ya wazi

halafu mchezaji wa Yanga mmoja akaenda 'kulipiza'
faulo mbaya sana ya makusudi kabisa akapewa kadi ya njano
badala ya nyekundu moja kwa moja

halafu Yanga goli la pili mchezaji wake aliushika kwa mkono
kwanza mpira......

Imesemwa mara nyingi Yanga inabebwa
lakini wahusika hawataki kusikia..kukweli hamuisaidii
mnazidi kuturudisha nyuma.....na ndo maana timu zetu zikienda nje
matokeo yanajulikana kabla.....

Kuna mechi Ya Ligi ya Yanga na Coastal pia ambapo Yanga alifungwa bao 2 bila
cha kushangaza refa akaongeza dakika kumi nzima
huku hakukuwa na tukio lolote la kulipia muda....

Hizo ni mechi mbili tu nimezitaja lakini wote tunajua kinachotokea...

hamuisaidii Yanga...mnaiumiza tu kiukweli....
Nimewahi kusema hapa JF mapema sana kipindi tu Malinzi anaingia kuwa Yanga itabebwa sana maana haina mjadala kuelewa kuwa Malinzi ni mnazi wa Yanga hadi kwenye moja ya account zake za social network anaweka naipenda Yanga. Unafikiri refa akiambiwa na boss wake kuwa hakikisha Yanga inashinda atafanyeje? Ni lazima ishinde. Hiyo thread niliyosema kwamba nilichangia nilishambuliwa sana kwamba sielewi.

Malinzi is there for the benefit of Yanga and not nation but slowly killing Yanga Internationaly.
 
Yaani unaweza sema utazame mpira ukajikuta unakasirika kabisa
na ukajuta why umetazama

Mchezaji wa Yanga leo kachezewa faulo kainuka moja kwa moja kumpiga teke la kifua
mchezaji wa Coastal...halafu refa katoa kadi ya njano....yaani nimeshangaa sana
goli la kwanza kila mtu alijua ni offside ....
tunabariki rushwa kwa excuse ya "yanga ni timu ya wananchi".... I will damned if Serikali hii mpya itaacha huu upumbavu wa soka" uendelee

Lazima watu wafungwe jela hasa, rushwa ni rushwa tu!!! na kwenye soka ipo na hata kuna video na sound clip zinazunguka

Something needs to be done
 
Kanuni kuu ya YANGA ni ushindi kila mechi haijalishi itashindaje

Tunachotaka sisi ni fililmbi ya muamuzi kila inapo pulizwa kuwa mpira umeisha
Bas yanga nayo imeshinda
Mwisho wa siku yanga kashinda bas
 
Tatizo la marefa sio kwa Yanga tu, mechi nyingi marefa wanavurunda. Sema tu kwa kuwa Yanga ndio vile.... Basi wanatajwa wao tu lkn hata Yanga wanaathiriwa na maamuzi sometimes
 
Yaani unaweza sema utazame mpira ukajikuta unakasirika kabisa
na ukajuta why umetazama

Mchezaji wa Yanga leo kachezewa faulo kainuka moja kwa moja kumpiga teke la kifua
mchezaji wa Coastal...halafu refa katoa kadi ya njano....yaani nimeshangaa sana
goli la kwanza kila mtu alijua ni offside ....
Nashindwa kuizungumzia hii unayoita Offside goli lililofungwa na Ngoma kwa sababu na Azam tv wameshindwa kutuonyesha Ngoma alikuwa wapi wakati mpira unapigwa!! Kwasababu isije tukalaumu bure kwakuwa mfungaji alikuwa pekeake bila kujua kuwa mpira ulipopigwa yeye alikuwa Angle ya Offsife Au Lah!!!!!! Uonyeshaji wa Azam tv nao unaleta mkanganyiko.
Lakini pia nashindwa kukubali kuwa goli alilofunga Tambwe amefunga kwa mkono kwa hakuna kitu ambacho kitanifanya nijiridhishe, azam tv wameshindwa kuonyesha vizur ulipogonga Post ulifikia sehemu ya mwili kwa Mfungaji wa goli Tambwe.
 
mie sijaelewa.hivi matokeo ya leo yatachukuliwaje?au wanaweza kuja kucheza tena?maana naona vurugu zimekatiza mechi
 
Nashindwa kuizungumzia hii unayoita Offside goli lililofungwa na Ngoma kwa sababu na Azam tv wameshindwa kutuonyesha Ngoma alikuwa wapi wakati mpira unapigwa!! Kwasababu isije tukalaumu bure kwakuwa mfungaji alikuwa pekeake bila kujua kuwa mpira ulipopigwa yeye alikuwa Angle ya Offsife Au Lah!!!!!! Uonyeshaji wa Azam tv nao unaleta mkanganyiko.
Lakini pia nashindwa kukubali kuwa goli alilofunga Tambwe amefunga kwa mkono kwa hakuna kitu ambacho kitanifanya nijiridhishe, azam tv wameshindwa kuonyesha vizur ulipogonga Post ulifikia sehemu ya mwili kwa Mfungaji wa goli Tambwe.

Na yule aliepewa njano badala ya Nyekundu mbona huzungumzi?
 
Leo nimeshindwa kuvumilia
waliotazama pambano la leo la Yanga na Coastal mtakuwa mashahidi

Goli la kwanza la Yanga offside ya wazi

halafu mchezaji wa Yanga mmoja akaenda 'kulipiza'
faulo mbaya sana ya makusudi kabisa akapewa kadi ya njano
badala ya nyekundu moja kwa moja

halafu Yanga goli la pili mchezaji wake aliushika kwa mkono
kwanza mpira......

Imesemwa mara nyingi Yanga inabebwa
lakini wahusika hawataki kusikia..kukweli hamuisaidii
mnazidi kuturudisha nyuma.....na ndo maana timu zetu zikienda nje
matokeo yanajulikana kabla.....

Kuna mechi Ya Ligi ya Yanga na Coastal pia ambapo Yanga alifungwa bao 2 bila
cha kushangaza refa akaongeza dakika kumi nzima
huku hakukuwa na tukio lolote la kulipia muda....

Hizo ni mechi mbili tu nimezitaja lakini wote tunajua kinachotokea...

hamuisaidii Yanga...mnaiumiza tu kiukweli....
tatizo lako ni kwamba wewe ni wakitaifa tena wa mchangani. Tuache sie makombe yote ni yetu ila hamjachelewa enda kwa kombe la dr mwaka
 
Yaani unaweza sema utazame mpira ukajikuta unakasirika kabisa
na ukajuta why umetazama

Mchezaji wa Yanga leo kachezewa faulo kainuka moja kwa moja kumpiga teke la kifua
mchezaji wa Coastal...halafu refa katoa kadi ya njano....yaani nimeshangaa sana
goli la kwanza kila mtu alijua ni offside ....
Tatizo unaenda kutazama mpira ukiwa na hasira dhidi ya yanga kwa kuwa simba hafanyi vizuri.

Huu mchezo hautaki hasira boss
 
Back
Top Bottom