Kama unaingia night shifts inabidi upate muda wa kupumzika hasa mchana. Kuna watu wao huamua kufanya mambo yao mchana halafu waingie night shifts tu.Kwa wale watumishi wa afya kama Kuna mwenye experience ya kufanya night shift Kila siku mliwezaje? Yan wewe shift Yako ni usiku tu
Kazi yoyote inawezekana ukiwa na nia.Kwa wale watumishi wa afya kama kuna mwenye experience ya kufanya night shift Kila siku mliwezaje?
Yaani wewe shift yako ni usiku tu
Napiga shift ya usiku deile mwaka wa 5 sasa na naona easy tu, nazimika mchana, issue nikiwa off ndo utata nalala mchana na usiku mfululizo! Mwanzo nilianza kwa kunywa redbull hadi nikazoea baadaye biological clock ikakubali kwamba nimeufanya usiku kuwa mchana! Kwa ss easy tuKwa wale watumishi wa afya kama kuna mwenye experience ya kufanya night shift Kila siku mliwezaje?
Yaani wewe shift yako ni usiku tu