maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,191
- 1,563
Wote wanaungwa mkono SSH na mwenyekiti wa CDMShida yenu BAVICHA hamueleweki, ndiyo maana sasa hivi hamueleweki nani hasa mnamuunga mkono kati ya SSH na Mwenyekiti wenu. Mpo kwenye kundi la mama kuupiga mwingi.