Mnakera wanaume wakorofi

Mnakera wanaume wakorofi

Joined
Aug 26, 2014
Posts
56
Reaction score
17
I hope u guys are all good.

Jamani am fed up with these men wanaokuja ofisini na mahasira sijui wanatoka nayo wapi. Hivi mnajua ni kiasi gani mnatuumiza wenzenu na ukiangalia sisi ni kama mabinti zenu mnashindwa kutuheshimu mnakuja na miattitude unafoka as if am the one nazuia hiyo cheque kutoka ama whatever unafatilia hapa or any office utayoenda.

Mnatupa hard times mnatudharau mtu hataki kukuona inakua world war II kwangu kashfa zote unamalizia kwangu si muwafokee wanaume wenzenu ni wao wanaotuagiza tuwajibu hivyo, after all these years of technology bado kuna watu wanatuachia maagizo na card mnapewa hamtaki kuwapigia makusudi tu ili upate sababu ya kutufokea.

Mkitutongoza tukikataa ni kiama kabisa sitaki hata kuelezea hivi mkoje nyie?

Sijui hata mmelelewa vipi kila mtu ana stress zake ila kututolea watoto wa wenzenu its not cool at all:angry:
 
I hope u guys are all good.

jamani am fed up with these men wanaokuja ofisini na mahasira sjui wanatoka nayo wapi. hivi mnajua ni kiasi gani mnatuumiza wenzenu na ukiangalia sisi ni kama mabinti zenu mnashindwa kutuheshimu mnakuja na miattitude unafoka as if am the one nazuia hiyo cheque kutoka ama whatever unafatilia hapa or any office utayoenda.

mnatupa hard times mnatudharau mtu hataki kukuona inakua world war II kwangu kashfa zote unamalizia kwangu si muwafokee wanaume wenzenu ni wao wanaotuagiza tuwajibu hivyo, after all these years of technology bado kuna watu wanatuachia maagizo na card mnapewa hamtaki kuwapigia makusudi tu ili upate sababu ya kutufokea.

mkitutongoza tukikataa :flame: ni kiama kabisa staki hata kuelezea hivi mkoje nyie???? sjui hata mmelelewa vipi kila mtu ana stress zake ila kututolea watoto wa wenzenu its not cool at all:angry:

Haya unamueleza nani?
 
Dada sekretar hukusoma office.duties and responsibilities au secretarial.duties??? Wageni au wafanyakaz wakiwa hivo n.akili.yako tu mtu akikukaripia muangalie akikujibu muangalie wala.usimjibishe na ukikerwa zaidi si.yupo afisa rasilimali wenu mfate ukashtaki
 
Usipotaka kero za namna hii au kama huwezi kuzivumilia ujiajiri.
 
Pole sana eeeh,ndio kazi kama unavyojua sikuzote hazifanani kuna siku mtu anakukera na kuna siku unapata mtu anakuheshimu mpaka una wish wote wangekua kama hivyo...
 
Dada sekretar hukusoma office.duties and responsibilities au secretarial.duties??? Wageni au wafanyakaz wakiwa hivo n.akili.yako tu mtu akikukaripia muangalie akikujibu muangalie wala.usimjibishe na ukikerwa zaidi si.yupo afisa rasilimali wenu mfate ukashtaki
sijakuambia unifundishe kazi infact am talking to MEN not u
 
pole yako....mbona hao wako wengi......utasema nao wangapi..busara ni kumpuuzia mtu hutapungukiwa chochote
 
Si ndo hapo

Kamuacha HRO wake ofisin.kaja huku kutoa povu kwani hajui secretarial duties na responsibilities zake
Anaieleza hadhira, hii ndio jamii inayofanya haya mambo...we ulitaka achukue tarumbeta atembee nalo kutoa dukuduku...this's the right place..pamoja na kumwambia HR wake..!
 
Si ndo hapo

Kamuacha HRO wake ofisin.kaja huku kutoa povu kwani hajui secretarial duties na responsibilities zake

Na kibaya zaidi amejumlisha wote utadhani kila bosi au mwanaume ana tabia hizo!
 
Pole mpendwa watu hawafanani na mtu ukimjua jina huwezi muuliza waitwa nani kimya ni jibu tosha though wanauzi but watu wako tofauti,kua mvumilivu tu.
 
Anaieleza hadhira, hii ndio jamii inayofanya haya mambo...we ulitaka achukue tarumbeta atembee nalo kutoa dukuduku...this's the right place..pamoja na kumwambia HR wake..!

Mkuu sio tatizo kuleta jambo ambalo limekutokea huko kwenye maisha ya kawaida,lakini unapolileta hapa jaribu kutokuliweka "kibinafsi' zaid,huyu dada amekuja hapa kama vile anamshitaki huyo bosi wake kwetu kitu ambacho sio sahihi

Lakini pia amekuja hapa kuwashambulia wanaume wote utadhani kila mtu anafanya ujinga huu

Matatizo ni hayo tu mkuu!
 
nakueleza wewe apo u r one of them

Kwanza najiuliza hiyo kazi umepewaje wakati hata kuandika hujui

Naanza kuona huyo bosi wako ana haki ya kukutusi [japokuwa sio sahihi lakini kuna watu wanaelewa zaidi ukiwatusi] maana unaonekana hata hujui kazi zako wala majukumu yako ....!
 
wasikuzingue mwaya


wakija wamejinunusha wapotezee

wakifoka kuwa busy na kazi zako afoke mpaka povu la mdomo limtoke, tena ndio kwaanza jimiminie chai unywe kwa raha zako...........
 
Back
Top Bottom