YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 116
Mbona Nyerere aliweza??? Bila Madini, Gesi wala Mafuta!
Wakati wa awamu ya Nyerere idadi ya watu ilikuwa wachache,na wasomi wachache,na mwamko wa elimu ulikuwa sio mkubwa,na hata shule zilikuwa chache.Ni sawa na mzazi mwenye watoto wawili na mwenye watoto kumi,matumizi ya kuwaleya yatakuwa tofauti.Mbona Nyerere aliweza??? Bila Madini, Gesi wala Mafuta!
Soma hii
Trinidad and Tobago-offers free Tertiary education to its citizens up to the undergraduate level at accredited public and select private institutions. Postgraduate degrees are paid up to 50% by the Government at accredited institutions. This benefit is given to the citizens under a programme called Government Assisted Tuition Expenses Programme (GATE) and it is managed by the Funding and Grants Administration Division of the Ministry of Tertiary Education and Skills Training
Hiyo ni nchi kama Trinidad and Tobago, sikuona haja ya kukupa mifano ya nchi Tajiri.
Lakn pia kasome habari za elimu ya Cuba. Nchi ndogo kama Mauritius pia, japo hawa bado ni bure mpka Sekondari tu lkn ni nchi ndogo kulinganisha na Tanzania.
Toa point zako.
Ficha ujinga wako watu watakuona mwelevu, kama una uelewa pangua hoja zangu moja baada ya nyingine. Rubbish
Kwann lisiwezekane mbona-sasaivi wanasoma bure lakini kwa ubaguzi. Unapewa mkopo wa boom lakini baada ya kumaliza hawajui unaenda wapi, sasa huo mkopo si ni sawa na kusoma bure.Elimu ya bure mpaka Chuo kikuu haiwezekani.lowassa anawadanganya wananchi. Ikitokea akafanya hivyo yatawekwa masharti ambayo asilimia zaidi ya 90 hawatanufaika na hiyo offer.
😀😀😀 nimekupa mfano mmoja wa nchi maskini Trinidad na Tobago umeshindwa kukanusha sasa unataka nchi tajiri ehe he ?Kawadanganye wajinga wenzio. Nitajie nchi tajiri inayotoa elimu ya bure mpaka Chuo kikuu. Please usiniambie Kuna baadhi ya michango inatakiwa kulipwa. Haya nenda ka google ulete hapa. Ukiniletea nakurushia 100000 kwenye mpesa yako.
We jamaa ni mpumbavu na lofa wa hoja. Bahati yako leo ni jpil
Wakati wa awamu ya Nyerere idadi ya watu ilikuwa wachache,na wasomi wachache,na mwamko wa elimu ulikuwa sio mkubwa,na hata shule zilikuwa chache.Ni sawa na mzazi mwenye watoto wawili na mwenye watoto kumi,matumizi ya kuwaleya yatakuwa tofauti.
Umesoma elimu ya juu hapa Tanzania? Je ulipokuwa unajaza maombi ya mkopo ulipewa 100% , Kama hukupewa hiyo iliyobaki alilipia nani? Mbona unasema ni bure? Hiyo ni Ada tu je michango mingine hujawahi kulipa? Wakati unajaza fomu uliambatanisha barua za viongozi wa serikali yako ya mtaa na hati ya Mali Kama dhamana? Hapo utasemaje ni bure? Huna point hakuna elimu ya bore usidanganyike.ukikopeshwa utalipa usipolipa wewe watalipa wengine watafidia.nothing goes for free nowadaysKwann lisiwezekane mbona-sasaivi wanasoma bure lakini kwa ubaguzi. Unapewa mkopo wa boom lakini baada ya kumaliza hawajui unaenda wapi, sasa huo mkopo si ni sawa na kusoma bure.
Habari za jumapili wakubwa na wadogo, natumaini kila mtu yupo vizuri sana.
Nina jambo nimefikiria sana, na kwa muda mrefu bila kuwa na majibu, na kwa kuwa nimeishia darasa la saba nikaogopa sana kulileta hapa jamii forum, ila leo imetokea tu nimejipa moyo na nimeamua kulileta kama fikra zangu zinavyo nituma.
Swala lenyewe ni la ELIMU yetu Watanzania, tena ni hii Elimu ya bure. Tumeshawah kufikiria kuwa bila kulipa school fees hali itakavyo kuwa katika iki kizazi? Ulimwengu na wazazi, wazazi na mtoto na pia mtoto na ya dunia.? Kwa mfano ulimwengu na wazazi, wazazi wa sasa school fees ilikuwa inawalimit sana katika starehe, kwa kiasi wakawa watulivu, na starehe, Hesabu na kila kitu ni kwa sababu ya school fees, je ada zinatolewa wazazi watakuwa wa namna gani?
Je watoto hawa wa sasa hivi ulimpii Ada utamwambia nini akuelewe wakati heshima yote alikuwa anakupa sababu ya Ada, kwa mfano mtoto wako akakumbia mimi ni gay umri wake miaka 16 hata miaka 18 hajafika ni lugha gani ya matendo utamtishia? Wakati huo ukimfukuza anaondoka.
Madhara ya wazazi kutokulipa Ada ni makubwa sana tofauti tunavyo fikiria, mvurugano utakuwa mkubwa sana ni kama Dunia bila amri za Mungu. Ada ndio speed gavana kati ya mzazi na mtoto, mtoto na Mzazi na pia heshima itaweka katika jamii, na ushenzi utakuwa mwingi sana.
Samahanini kwa kiswahili kibaya maana nimeandika nikiwa na hamu ya bang.we.
Sasa wewe ndio mfano wa malofa Kati ya wengi ambao hamjielewi mnapelekwa tu Kama nyumbu na lowasa. Kwa hiyo umeamuwa tena kunidanganya kuwa Scotland wanatoa elimu ya bure.teh teh . Hiyo Trinidad and Tobago unayosema wanatoa elimu ya bure pia umedanganya. Unajuwa maana ya tertiary education inayotolewa huko Trinidad and Tobago? Usidanganyike suala la kutoa elimu ya bure mpaka Chuo kikuu halipo ndugu yangu huu ni uwongo wa mchana kweupe.😀😀😀 nimekupa mfano mmoja wa nchi maskini Trinidad na Tobago umeshindwa kukanusha sasa unataka nchi tajiri ehe he ?
Unahtaji elimu ya serikali ya UKAWA wewe hii ya ccm imekufanya masaburi, yani uniahd mimi elfu 10? Rubbish
Tunza kesho umpe mwanao ada ya shule unayodaiwa. Kasome Elimu ya Scotland inatolewaje, mchango wa serikali katika elimu mpk chuo kikuu, ukiona haikutoshi uje uombe na nyingine. Additionally, kasome na utoaji elimu wa Brazil
Ha ha ha Malofa katika ubora wetu, u pumbavu wetu ndio think Big zetu. Hapo vipi?
Kweli u are limited in a thinking ability, ndio maana LOWASA anasema inhtajika elimu kwa watanzania, hapa ndipo wenye ufinyu wa mawazo wanafikiria, watanzania tunafikiria Elimu mkoloni ccm aliotupatia miaka 53 hadi sasa (Bookish) education
Hapa tunazungumzia elimu mpya, ya Tanzania mpya tunazungumzia Elimu inayo suit Dunia ya sasa
Elimu itakayofuata misingi ya falsafa za elimu ikiwaandaa watu kulingana na uwezo wao, na makundi maalumu
👉Watu wa Cognitive
👉 watu wa Psychomotor
👉 self reliance education
Ukiwa una self-reliance education sidhani kama kwakuwa ulipi Ada basi utapeleka kwenye pombe au starehe, pombe watu wanakunywa extremely kwasababu ya Ugumu wa maisha wanasomesha kwa shida, ila watu wakipunguziwa mzigo wa elimu, wana uwezo wa kutumia mapato yao ya ziada katika uwekezaji mkubwa, pombe kwa starehe. Na kufanya maendeleo, maana elimu itakuwa imemuandaa katika hayo yote.
Mtu atasema watanzania hawawezi, hawawezi maana hawana elimu, wamebweteka, wamebweteka maana hawana elimu bora.
(nikisema elimu sio kuingia darasa la 1-7 then kidato cha 1-4) alafu chuo ukiwa umekariri history tu.
👆 hiki ndicho watanzania wengi hatujui, Elimu si kwenda msingi, sekondari tu. Kuna technical education, kuna agricultural education, kuna entrepreneurship education, Tanzania imesahaulika. Kuna elimu ya kujitambua tu, ili haya unayohofia yasiwepo, lkn hayobyote hayapo.
Ndio maana tunasema tunahtaji mfumo mpya wa elimu wenye kumgusa kila Mtanzania kwa namna moja ama nyingine kumuandaa kuishi maisha huru na kukabiriana na changamoto mpya za dunia hasa sayansi na teknolojia.
Tusichanganye cognitive na psychomotor. Kila koja itumike vema in combination tuzalishe watu bora watakao anzisha viwanda vidogo vidogo na kujiajiri, kisha tujenge uchumi imara.
LAKINI elimu yetu ya sasa tuna assume kila mtu anaweza kuwa cognitive, kila mtu anaweza kwenda mpk chuo kikuu, akisoma history, English, kiswahili nk nk.
Elimu kama elimu ni pana sana. Lazima mfumo wa elimu wa nchi yetu ufumuliwe kabisa.
Ukisoma comparative education naimani china yaweza kuwa case study nzuri ya ku dig from kubuilt our new education system.
Kuna challenges za culture lkn we can mix to suit our cultural environment.
Amka Mtanzania elimu bure inawezekana
Na Elimu bora sio hii ya CCM
Kawadanganye wajinga wenzio. Nitajie nchi tajiri inayotoa elimu ya bure mpaka Chuo kikuu. Please usiniambie Kuna baadhi ya michango inatakiwa kulipwa. Haya nenda ka google ulete hapa. Ukiniletea nakurushia 100000 kwenye mpesa yako.
Germany
Germany
Achana nae huyo urefu wake wa kuona ni upeo wa macho yake, juzi tu BBC swahili walikuwa na habari ya Wamarekani kukimbilia ujerumani kufuata elimu ya Bure.
CCM imemuua kiakili, muache tu ataamuka October 26 tushamvisha kanzu ya Mabadiliko.
LOWASA FOR TANZANIA
Acha uongo ujerumani hakuna elimu ya bure. Isije kuwa ulipata scholarship ukasema ni bure.
Hata tukikuelewesha vipi, hautaelewa! Maana ufahamu wako ni mdogo sana! Basi tutaweka option mbili, kama ukitaka kulipa ada ulipe! Maana hakuna namna nyingine, nyie ndio mmekuwa walalamikaji wakuu kuhusu ada, sasa inaenda kufutwa bado tena mnalalamika!!Habari za jumapili wakubwa na wadogo, natumaini kila mtu yupo vizuri sana.
Nina jambo nimefikiria sana, na kwa muda mrefu bila kuwa na majibu, na kwa kuwa nimeishia darasa la saba nikaogopa sana kulileta hapa jamii forum, ila leo imetokea tu nimejipa moyo na nimeamua kulileta kama fikra zangu zinavyo nituma.
Swala lenyewe ni la ELIMU yetu Watanzania, tena ni hii Elimu ya bure. Tumeshawah kufikiria kuwa bila kulipa school fees hali itakavyo kuwa katika iki kizazi? Ulimwengu na wazazi, wazazi na mtoto na pia mtoto na ya dunia.? Kwa mfano ulimwengu na wazazi, wazazi wa sasa school fees ilikuwa inawalimit sana katika starehe, kwa kiasi wakawa watulivu, na starehe, Hesabu na kila kitu ni kwa sababu ya school fees, je ada zinatolewa wazazi watakuwa wa namna gani?
Je watoto hawa wa sasa hivi ulimpii Ada utamwambia nini akuelewe wakati heshima yote alikuwa anakupa sababu ya Ada, kwa mfano mtoto wako akakumbia mimi ni gay umri wake miaka 16 hata miaka 18 hajafika ni lugha gani ya matendo utamtishia? Wakati huo ukimfukuza anaondoka.
Madhara ya wazazi kutokulipa Ada ni makubwa sana tofauti tunavyo fikiria, mvurugano utakuwa mkubwa sana ni kama Dunia bila amri za Mungu. Ada ndio speed gavana kati ya mzazi na mtoto, mtoto na Mzazi na pia heshima itaweka katika jamii, na ushenzi utakuwa mwingi sana.
Samahanini kwa kiswahili kibaya maana nimeandika nikiwa na hamu ya bang.we.
Mwehu!!!elimu utailipia kivingine....unadhani makufuli ama lowasa watatoa hela zao mfukoni kusomesha watoto wenu?....
ukinunua mkate kwa 2500,,,kuku kwa elfu 50000,ndo unalipia hivyo kivingine....
na hapo ndo mtamkumbuka jk na kusema,kumbe bora wakati wa jk mambo yalikua afadhali...
kipindi hicho ukitaka kuanzisha genge la kuuza mchicha mpaka ukate leseni na mapato ulipe pia