Mwana Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 652
- 607
Mzee wa kibaoni ameendelea kupima kina cha maji ya urais kuanzia nyumbani kwao. Siku zote mcheza kwao hutuzwa kwa hiyo umati anaouona sio realistic kwani ndugu zake wanamwonea huruma. Hili zoezi la kujipima akalifanye Arusha mjini, Karatu, Mwanza Mjini na Mbeya mjini na akiona bado umati ni kama ule wa Katavi basi asonge mbele. Hii naiona kama mtu anayejifunza kuogelea kwenye karai ili akaogelee bahari ya kina kirefu hapa; matokeo yake ni obvious.
Labda iwe amedokezwa ila naona giza kupitia pinda!!!!
Labda iwe amedokezwa ila naona giza kupitia pinda!!!!