Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,144
- 48,369
Kichwan huo mnakuwa na UTI au ni kaswendePole yao.
God bless USA&ISRAEL
Daah nimecheka sana aisee..Kichwan huo mnakuwa na UTI au ni kaswende
Iran siyo waarabu, muwe mnajielimishaWatakuwa waasi wa kabila dogo la Kiarab wamelipua maana wanapatikana eneo hilo ulipotokea mlipuko.
Hilo eneo kuna vuguvugu la Waarab wa Sunni ambao hawataki utawala wa Mullahs wa Tehran ambao ni Washia
Hamna lolote.mnamkuza Israel hana lolote mbele ya IranNilitegemea hii BN iletwe kwetu kwa uzamini wa Ritz Webabu FaizaFoxy Morogoro kaskazini Adiosamigo
Mossad agents at work
Hawa watu wakanisani noma sana aisay eti Iran ni warabu 😆 😂Iran siyo waarabu, muwe mnajielimisha
Kanisa na mtu kujua kama wairani ni waarabu ama lah wapi na wapi? Jee huko Irani kwani hakuna makanisa?Hawa watu wakanisani noma sana aisay eti Iran ni warabu 😆 😂
Israel kaingiaje tena kwenye huu uziHamna lolote.mnamkuza Israel hana lolote mbele ya Iran
Eneo ulipotokea mlipuko kuna waarab wewe fungua akili yako.Iran siyo waarabu, muwe mnajielimisha
We ndio unatakiwa ukasomeshwe kijana, Bandar Abbas haipo kabisa Khuzestan province ipo Hormozgan province na huko hakuna hata Mwarabu. Warabu wapo kule Khuzestan provinceEneo ulipotokea mlipuko kuna waarab wewe fungua akili yako.
Unajifanya unajua kumbe hamna kitu
Ujinga ni mzigo
Nani kasema ipo Khuzestan?We ndio unatakiwa ukasomeshwe kijana, Bandar Abbas haipo kabisa Khuzestan province ipo Hormozgan province na huko hakuna hata Mwarabu. Warabu wapo kule Khuzestan province