Mliostaafu na Prof. Asaad unganisheni nguvu muanzishe kiwanda kuunga mkono juhudi za Rais wetu

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana JF,

Tukiwa na mwanaHisabati mbombezi wa hali ya juu, ni muda wa muafaka sasa kuunganisha nguvu kuanzisha kiwanda kwani kutumia taaluma yake ameona viwanda vingi vinakwamishwa na nini na mitaji inakufaje usipokuwa makini, kwa kuwa yeye anamtaji sasa na mbinu za kuomba mikopo na kuiweka kwenye matumizi sahihi ameona tangia awali, kama akiungana na wenzake, wanaweza kuzalisha ajira kubwa.

Tanga ni sehemu nzuri kwa kilimo, wawekezaji wengi kwa sasa wamenyanganywa mashamba kwani walifanya udanganyifu wakachukua ardhi wakaikopea. kwa sasa imerudishwa serikali hivyo haya mashamba wasomi hawa wakiyatumia yanaweza kuwapa faida kubwa kuliko muda ambao wangeutumia kuwa wanasiasa.

mabalozi na Mh. Prof. kama mnataka kuliokoa taifa kwa kuongeza ajira basi anzisheni kiwanda au jiingize kwenye kilimo chochote tuweze kupata chochote kutoka kwenu.
 
Atapewa kesi ya "UHUJUMU CHUMI/KUKWEPA KODI", bora akapumzike maana tutamuhitaji huko mbeleni agombee urais wa nchi hii.
 
Kwani cag awezi kuwa balozi au mkuu wamkoa au mkuu wawiliaya au Das au hicho cheo alichostaafu nacho astahili tena kuteuliwa? Yeye auchune2 akae kimya anaweza kuramba teuzi yaani asiwashwewashwe2
 
si wana mitaji waanzishe viwanda, kilimo kama vile pinda alivyofanya itasaidia kuinua kipato cha nchi

Sasa kama rais mwenyewe kashindwa kuleta serikali ya viwanda kaishia tu kwenye serikali ya vibanda, huyo jamaa atawezaje?
 
Kwani cag awezi kuwa balozi au mkuu wamkoa au mkuu wawiliaya au Das au hicho cheo alichostaafu nacho astahili tena kuteuliwa? Yeye auchune2 akae kimya anaweza kuramba teuzi yaani asiwashwewashwe2
Ukiwa CAG hauwezi tena kushika vyeo vidogo kama ulivyotaja
 
Back
Top Bottom