Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
Nikikumbuka enzi nipo o level mpaka a level,hakika nilikuwa nawaamini sana walimu wangu wa tuition za mchikichini eg: teacher hidden agenda,mud,osama,mbuga,hawa jamaa ni noma hata walimu wa shulen hamna kitu,mimi nilikua nasoma masomo machache sana kwa darasan english,civics,kisw,histori,mengine yote ni chimboni,kama umesoma tuition unaweza toa ushaidi kwa ubora wa tuition za mchikichini