heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Jamaa we ni mngese sana, acha utumwa wa kifikra, fanya kaz zako bnafc za kupata mkwanja dogo na c kuhangaika kuwa secretary wa huyo diamond cz ye ashatengeneza maisha yke so na ww hangaikia ya kwako. Acha utumwa wa kifikra utalemaa mdogo wangu halaf wanaume watakupakata cku za uson kama utaendelea hivi. Umesikitisha sana
Jamaa we ni mngese sana, acha utumwa wa kifikra, fanya kaz zako bnafc za kupata mkwanja dogo na c kuhangaika kuwa secretary wa huyo diamond cz ye ashatengeneza maisha yke so na ww hangaikia ya kwako. Acha utumwa wa kifikra utalemaa mdogo wangu halaf wanaume watakupakata cku za uson kama utaendelea hivi. Umesikitisha sana
Heaven on desert from Classic FM...surely we missed u so much!
Tz We have a long way to go...
Sio vibaya kuwa Secretary wake but sidhani kama una mkataba au unafanya kazi kwa ajili ya upambe kama wale wauza sura kwenye shooting,,,maana wenzenu Ulaya wanalipwa kwa kazi hizo.
bakikufikilia hivyo hivyo....but niko kwenye kazi halali na pengine mshahara ninaoupata kwa mwezi wewe kuupata ni ndoto ya jioni
zamani nilidhani we ndo Heaven on earth na siku hizi ulibadili avatar Heaven on earth samahani aisee
Baada ya kuwa kimya kwa mda mlefu pasipo kuwapa updates kuhusu Diamond platnumz
now nimerudi ...ntaendelea kuwapa updates zote za uhakika kuhusu diamond
kumbuka habari yoyote kuhusu diamond ambayo itakuwa haijathibitishwa na mimi jua ni batili
..BY Heaven on desert
WASAFI CLASSIC ENTERTAINMENT
ha ha ha watanganyika bana...mwenzio niko kazini na hujui ni kiasi gani nalipwa na pengine wewe kukipata kwa mwezi ni ndoto..so kaa kimya
we exist in separate world....