Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Feb 4, 2012 #21 Ndokeji said: mwaka huu nimepanga kuingia kwenye ndoa,je kunafaida zipi? Click to expand... Kama hujui faida za ndoa basi inaelekea wewe haupo tayari kuingia katika ndoa. Embu nenda kajipange upya halafu urudi tena
Ndokeji said: mwaka huu nimepanga kuingia kwenye ndoa,je kunafaida zipi? Click to expand... Kama hujui faida za ndoa basi inaelekea wewe haupo tayari kuingia katika ndoa. Embu nenda kajipange upya halafu urudi tena
jebs2002 JF-Expert Member Sep 3, 2008 8,848 7,623 Dec 27, 2017 #22 Ndokeji said: mwaka huu nimepanga kuingia kwenye ndoa,je kunafaida zipi? Click to expand... Ukilazimishwa issue... Ila ukipendwa utapewa VYOOTTEE..
Ndokeji said: mwaka huu nimepanga kuingia kwenye ndoa,je kunafaida zipi? Click to expand... Ukilazimishwa issue... Ila ukipendwa utapewa VYOOTTEE..
mtzedi JF-Expert Member Dec 13, 2011 5,611 5,624 Dec 27, 2017 #23 Ndokeji said: nimelazimishwa na ndugu zangu lazima mwaka huu nioe nisije nikazeeka bila mtoto Click to expand... Mwanaume unalazimishwa?. Huna msimamo kama mwanaume jitambue.
Ndokeji said: nimelazimishwa na ndugu zangu lazima mwaka huu nioe nisije nikazeeka bila mtoto Click to expand... Mwanaume unalazimishwa?. Huna msimamo kama mwanaume jitambue.
jogi JF-Expert Member Sep 25, 2010 25,558 25,323 Dec 28, 2017 #24 jebs2002 said: Ukilazimishwa issue... View attachment 661060 Ila ukipendwa utapewa VYOOTTEE.. View attachment 661061 Click to expand... Duh
jebs2002 said: Ukilazimishwa issue... View attachment 661060 Ila ukipendwa utapewa VYOOTTEE.. View attachment 661061 Click to expand... Duh