Goodluck Mshana
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,271
- 1,119
Kwa wale ambao mlipata fursa ya kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura kwa njia ya BVR pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ni wapi mnahakiki taarifa zenu?! Hasa kwa wale walijiandikisha kwenye vituo vya Cafeteria, Nkuruma na Mlimani Primary.
Nauliza maana kituo changu kilikuwa pale Cafeteria. Jana nimefika sijakuta dalili zozote za uhakiki huo kufanyika!!! Naombeni msaada haraka maana muda umeyoyoma sana kwa wakazi wa Dar kuhakiki.
Labda pia nijazie hapa. Nimejaribu mfumo wa ki electronic wa NEC kwa kuingiza namba za kadi yangu kupitia namba *152*00# na kwenye web yao www.voters.nec.go.tz. Kote huko inaonekana SIJAJIANDIKISHA.!!! Huu niuite ni UHUNI uliokubuhu wa Tume. Zile fingerprint na taarifa zetu mmepeleka wapi?
Kwa mchezo huu hakika tutapigana VITA MAPEMA ASUBUHI. Natoa Rai kwa Tume ya Uchaguzi kuwaacha watanzania WOTE waliojiandikisha wakapige kura hiyo October 25. Vinginevyo mtaitia kiberiti hii nchi.
Uhakiki ni process ngumu na ndefu. Zoezi hili linahitaji muda na umakini kwa wahusika (IT personnel). Siyo jambo la kukurupuka na kutaka kutimiza azma za kisiasa. Nasema Tume ya Uchaguzi itangulie The Hague na kuanza mazoezi ya jela.
Kwa mwenye taarifa TAFADHALI
Asanteni.
Nauliza maana kituo changu kilikuwa pale Cafeteria. Jana nimefika sijakuta dalili zozote za uhakiki huo kufanyika!!! Naombeni msaada haraka maana muda umeyoyoma sana kwa wakazi wa Dar kuhakiki.
Labda pia nijazie hapa. Nimejaribu mfumo wa ki electronic wa NEC kwa kuingiza namba za kadi yangu kupitia namba *152*00# na kwenye web yao www.voters.nec.go.tz. Kote huko inaonekana SIJAJIANDIKISHA.!!! Huu niuite ni UHUNI uliokubuhu wa Tume. Zile fingerprint na taarifa zetu mmepeleka wapi?
Kwa mchezo huu hakika tutapigana VITA MAPEMA ASUBUHI. Natoa Rai kwa Tume ya Uchaguzi kuwaacha watanzania WOTE waliojiandikisha wakapige kura hiyo October 25. Vinginevyo mtaitia kiberiti hii nchi.
Uhakiki ni process ngumu na ndefu. Zoezi hili linahitaji muda na umakini kwa wahusika (IT personnel). Siyo jambo la kukurupuka na kutaka kutimiza azma za kisiasa. Nasema Tume ya Uchaguzi itangulie The Hague na kuanza mazoezi ya jela.
Kwa mwenye taarifa TAFADHALI
Asanteni.