Mliobaki UKAWA karibuni CCM! Tutawapokea!

Mliobaki UKAWA karibuni CCM! Tutawapokea!

Gangongine

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
3,854
Reaction score
1,776
Nilishasema UKAWA haina dira wala mwelekeo. Wengi walikwenda kwa kumtegemea Mtu na Siyo Taasisi.

Mtu aliposhindwa sasa wanarudi. Wengine moja kwa moja wengine kwa kujichelewesha ili kufuta aibu! Mliobaki huko karibuni tu CCM.

Tutawapokea tu maana ndio tuliowalea muda wote huu. Huko Vyeo mlivyoahidiwa hakuna tena.

Njooni tumsaidie Rais wetu kuijenga Tanzania Mpya badala ya kupoteza muda kwenye longo longo za Upinzani!
 
Nilishasema UKAWA haina dira wala mwelekeo. Wengi walikwenda kwa kumtegemea Mtu na Siyo Taasisi. Mtu aliposhindwa sasa wanarudi. Wengine moja kwa moja wengine kwa kujichelewesha ili kufuta aibu! Mliobaki huko karibuni tu CCM. Tutawapokea tu maana ndio tuliowalea muda wote huu. Huko Vyeo mlivyoahidiwa hakuna tena. Njoni tumsaidie Rais wetu kuijenga Tanzania Mpya badala ya kupoteza muda kwenye longo longo za Upinzani!
Sijui kama watakujibu hao ukawa
 
Inabidi uwe na macho matatu, kujua CHADEMA kimepoteza dira,Mbowe alipobadili gia angani hakuwa makini kuona kama bado CHADEMA kipo kwenye dira sahihi
 
Sana sana utaambulia matusi kwani wengi hawajielewi, sisi wengine tulimuunga mkono Magufuli na chama chake kwa sababu wale walioharibu ccm walihamia upande wa pili bila kutubu wala kueleza ukweli wa nini kilichowaondoa CCM na bahati mbaya ukawa ukawapokea na kuwaamini kuwapa nafasi kubwa ya kuleta mabadiliko ambayo walikuwa wakiyapinga wakiwa CCM.
 
Nilishasema UKAWA haina dira wala mwelekeo. Wengi walikwenda kwa kumtegemea Mtu na Siyo Taasisi. Mtu aliposhindwa sasa wanarudi. Wengine moja kwa moja wengine kwa kujichelewesha ili kufuta aibu! Mliobaki huko karibuni tu CCM. Tutawapokea tu maana ndio tuliowalea muda wote huu. Huko Vyeo mlivyoahidiwa hakuna tena. Njoni tumsaidie Rais wetu kuijenga Tanzania Mpya badala ya kupoteza muda kwenye longo longo za Upinzani!
Nakubaliana na hilo kujenga "nchi mpya'' what a shame!!!!
 
Nilishasema UKAWA haina dira wala mwelekeo. Wengi walikwenda kwa kumtegemea Mtu na Siyo Taasisi. Mtu aliposhindwa sasa wanarudi. Wengine moja kwa moja wengine kwa kujichelewesha ili kufuta aibu! Mliobaki huko karibuni tu CCM. Tutawapokea tu maana ndio tuliowalea muda wote huu. Huko Vyeo mlivyoahidiwa hakuna tena. Njoni tumsaidie Rais wetu kuijenga Tanzania Mpya badala ya kupoteza muda kwenye longo longo za Upinzani!
Usijivike ujinga ww viongozi wako wa nchi wanajua fika ni kwa namna gani upinzani unavyokuwa na ndiyo maana kila kukicha mkuu wa kaya kwa kulitumia jeshi la polisi na kile kinyago kinachofuruga bunge anajitahidi kuzima upinzani lakini wapi!!!
 
Ccm hawezi kubakia mtu mark my words! Magu ameshakata mirija yote ya posho
 
Ukipewa buku 7 omba risiti.
 
Sasa kila MTU akiwa ccm Nani atamfunga paka kengele, kuwa na fikra pana zaidi.
 
"Huyu dikteta kaenda Rwanda kusomea mbinu za kupambana na upinzani, nawaambieni CCM msipomdhibiti, sisi tutamdhibiti" - Zitto Kabwe.
 
Kwa hiyo wakiwA Upinzani hawajengi nchi!!? Hivi ndivyo akili za wanaccm zinavyofikiri.
 
huyu mwandishi wa thread hajielewi kabisa masikini,nina mashaka na elimu yake ,huyo magu saivi kapagawa
 

Attachments

  • magu.jpg
    magu.jpg
    55.5 KB · Views: 39
Back
Top Bottom