Ww kwan unatakajeTulia wewe mzee kwahiyo ulitakaje
Asante kwa taarifa wacha nikitulize kwanza.Hii foleni ya leo usipime
Kwa mnaotokea njia ya Goba Makongo hadi mlimani city
Na pia mnaotokea Ubungo hadi mwenge
Foleni ni kubwa sana na haisogei
Kama una uharaka panda pikipiki
Kama una gari usipite hizi njia kabisa
Hii ya leo ni balaa
Acha ukorofi. Wengine imetusaidia hiyo taarifa.Watu wa Dar mnadeka sana aisee, Sasa foleni ni kitu cha kuanzisha mada? N mwaka wa ngapi huu Dar kuna foleni, au ya leo foleni imeanzia wiki iliyopita mpaka leo?
Tulia wewe mzee kwahiyo ulitakaje
KAMA VIPI, ZichapeniWw kwan unatakaje