Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 243
Hapo wenye magari tuwe tunaweka ulinzi binafsi. unaandaa watu kama wawili unawashusha mbali kidogo wanakuja kwa mguu na kuanza monitoring wakiwa mbali. Hapo pia unatakiwa kutegesha vitu vinakuwa kweupe ili kuwavutia. Naamini watanasa tu! Hapo ni kupiga mpaka kuua. Hata MZA mtaa wa Mza hotel karibu na Kuleana restaurant siyo salama walishaniliza printer mpyaaa! Walivunja lock ya mlango wa L/cruiser. Tujipange kuwaua hawa wanatutia umaskini sana!
na sio kuiba tu laptops.bali wanatoa kila kitu ndani ya gari.power window,taa,sidemirrow n.k.maeneo ya sinza,kijitonyama wezi wameshaniri .tujumuike kuwaua.