Mlevi na Pastor.

Mlevi na Pastor.

Globu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,094
Reaction score
2,602
Mlevi mmoja alikuwa anapita kando ya mto, mara akamwona Pastor anawabatiza watu. Akaamua na yeye kujiunga kwenye foleni, ilipofika zamu yake akazamishwa mara ya kwanza. Akaulizwa ''umempokea YESU? Akajibu ''hapana'' akazamishwa tena, akaulizwa ''umempokea YESU? Akasema ''hapana'' akazamishwa mara ya tatu, akaulizwa ''umempokea YESU? Akajibu ''HIVI UNA UHAKIKA ALIZAMA HAPA? Au unanisumbua tu.
 
Say no to any religion jokes no matter u belong to that religion or not, u r a man or woman, civilian or soldier, etc
 
Back
Top Bottom