Mlete HIMARS Mlete HIMARS (Warusi 80k wapoteza maisha vita Putin)

Pearce

JF-Expert Member
Dec 15, 2018
577
1,381
Warusi wamefikia 80k mpaka sasa lakini kwa mujibu wa SPUTINIK na RT bado wanaripoti Special Op ni watu wao 3k tu waliofariki

Na malengo yatafikiwa, Urusi inasubiria muujiza wa 1942-43 ambapo baridi litabadilisha upepo wa vita( wanasahau wanaopambana nao pia sio wa magharibi pia na wamashariki wenzao)
Screenshot_20220822-172941.jpg
 
Mie huwa nasema Putin aliingia hii vita kichwakichwa.Maamuzi ya Putin hayana tofauti na maamuzi ya mwendazake,Jiwe.Kukurupuka kwa kwenda mbele
Jamaa Huwa anaonekana mtu smart kiakili, sijui aliingiwa na nini kilichompekea kufanya maamuzi ya hovyo ya kutoa sadaka maisha ya vijana wa taifa lake kwa sababu zisizo na mashiko
 
Himars za michongo hizo zimeshindwa kuikomboa khersan kuna daraja pale khersan limepigwa jumla na makombora 100 ya himars lakini mpaka leo halijaanguka na muda huu Warusi wameanza kuingia jiji la mykolaiv


Alafu Hilo shirika la ujasusi la uwingereza ndio lililo tuaminisha majeshi ya urusi yaliishiwa chakula
 
Warusi wamefikia 80k mpaka sasa lakini kwa mujibu wa SPUTINIK na RT bado wanaripoti Special Op ni watu wao 3k tu waliofariki

Na malengo yatafikiwa, Urusi inasubiria muujiza wa 1942-43 ambapo baridi litabadilisha upepo wa vita( wanasahau wanaopambana nao pia sio wa magharibi pia na wamashariki wenzao)View attachment 2331462
Mkuu Mimi ni pro NATO ila umechapia ,unatuangusha unajua ukiwa Pro NATO toa vitu vyenye uhalisia na si mahaba kama wazee wa Pro Russia ,samahani najua siyo wote ila ,kwenye vita kama hii usichukulie poa sana kupoteza askari 80,0000.
Inawezekana kwa namna flan ila hata vita ya dunia ya pili haukupoteza askari wengi hivyo kwa mda mfupi.
Nijaribu kusema vita ya kipindi hichi ni basically inalenga uchumi na propaganda za kujaribu kuvuta ushawishi na hamasa.
Hii inatokana na kupanuka kwa wigo wa taarifa (information technology) .
Hivyo usipende kukopi kitu na kukikazia jaribu kuwa neutral kwa jambo ambalo hulifahamu.
For now jeshi la Russia kwa data za uhakika ambazo hata ukipima mizani wamepoteza askari 25000 na Ukraine wamepoteza 36000.
Hii inatikana na data toka mshirika mablimbali ya kijasusu ikiwemo KGB,CIA,na FBI .
Hii vita itamalizika kwa Russian kubaki na Crimea na kuachia majimbo ya east waliyoyashikilia.
Kiufupi wamerudisha nusu asara ,maana wameuza ngano,mbolea na kuchukua vyuma huko.
Siyo mbaya maisha hayaendi kama tunavyopanga ila Russia wamejifunza kitu .
Pia West nao wamejifunza kitu .
Tupige dua haya mambo yaishe ,tufanye yetu bwana .
Tumesahau hadi tozo tunapigwa kwenye msosi.
 
Mkuu Mimi ni pro NATO ila umechapia ,unatuangusha unajua ukiwa Pro NATO toa vitu vyenye uhalisia na si mahaba kama wazee wa Pro Russia ,samahani najua siyo wote ila ,kwenye vita kama hii usichukulie poa sana kupoteza askari 80,0000.
Inawezekana kwa namna flan ila hata vita ya dunia ya pili haukupoteza askari wengi hivyo kwa mda mfupi.
Nijaribu kusema vita ya kipindi hichi ni basically inalenga uchumi na propaganda za kujaribu kuvuta ushawishi na hamasa.
Hii inatokana na kupanuka kwa wigo wa taarifa (information technology) .
Hivyo usipende kukopi kitu na kukikazia jaribu kuwa neutral kwa jambo ambalo hulifahamu.
For now jeshi la Russia kwa data za uhakika ambazo hata ukipima mizani wamepoteza askari 25000 na Ukraine wamepoteza 36000.
Hii inatikana na data toka mshirika mablimbali ya kijasusu ikiwemo KGB,CIA,na FBI .
Hii vita itamalizika kwa Russian kubaki na Crimea na kuachia majimbo ya east waliyoyashikilia.
Kiufupi wamerudisha nusu asara ,maana wameuza ngano,mbolea na kuchukua vyuma huko.
Siyo mbaya maisha hayaendi kama tunavyopanga ila Russia wamejifunza kitu .
Pia West nao wamejifunza kitu .
Tupige dua haya mambo yaishe ,tufanye yetu bwana .
Tumesahau hadi tozo tunapigwa kwenye msosi.

data za urusi hazijawa public acha kupotosha. siku watakapo publicizing tutazijadili. ila Russia wanaamini katika wingi wa askar. na askar wanaokufa ukraine wametoa takwim kua ni askar 9000 (wangeweza kusema chini ya hapo).
Russia wamekufa sana kutokana na uholela wao na tabia ya kujilundika mafungu mafungu.

unatoa Data toka mashirika ya kijasusi ambayo hata kwenye habari za ndani za Rusia hazipo. au wewe mwana KGB nini?

Ratio inaonesha
Russia atahitaji makombora 200 kumuua askar mmoja wa ukraine na askar wa Ukraine watahitaji kombora moja la Himars kusambaratisha ghala la silaha lilipo crimea lenye askari si chini ya 100.

Now Russia anasajili wapiganaji wapya
akili kumkichwa
 
Mkuu Mimi ni pro NATO ila umechapia ,unatuangusha unajua ukiwa Pro NATO toa vitu vyenye uhalisia na si mahaba kama wazee wa Pro Russia ,samahani najua siyo wote ila ,kwenye vita kama hii usichukulie poa sana kupoteza askari 80,0000.
Inawezekana kwa namna flan ila hata vita ya dunia ya pili haukupoteza askari wengi hivyo kwa mda mfupi.
Nijaribu kusema vita ya kipindi hichi ni basically inalenga uchumi na propaganda za kujaribu kuvuta ushawishi na hamasa.
Hii inatokana na kupanuka kwa wigo wa taarifa (information technology) .
Hivyo usipende kukopi kitu na kukikazia jaribu kuwa neutral kwa jambo ambalo hulifahamu.
For now jeshi la Russia kwa data za uhakika ambazo hata ukipima mizani wamepoteza askari 25000 na Ukraine wamepoteza 36000.
Hii inatikana na data toka mshirika mablimbali ya kijasusu ikiwemo KGB,CIA,na FBI .
Hii vita itamalizika kwa Russian kubaki na Crimea na kuachia majimbo ya east waliyoyashikilia.
Kiufupi wamerudisha nusu asara ,maana wameuza ngano,mbolea na kuchukua vyuma huko.
Siyo mbaya maisha hayaendi kama tunavyopanga ila Russia wamejifunza kitu .
Pia West nao wamejifunza kitu .
Tupige dua haya mambo yaishe ,tufanye yetu bwana .
Tumesahau hadi tozo tunapigwa kwenye msosi.

Uone ulivo kua Muongo unasema data zmetoka na FBI Wakati FBI ni inteligency ya ndani ya USA inteligence ya nje ni CIA.

the man kwenye huu uzi ametoa takwimu sahihi
japo mara ya mwisho nilisikia askar wa Russia wamefariki 45000. hii ya 80000. bado sijaithibitisha koz data zilizo tolewa toka kwenye chanzo changu zimehusisha walio kufa ndan ya Ukraine tu.
labda mtoa uzi alijumlisha na walio kufa Crimea na kwenye maeneo mengine yanayodhibitiwa na russia.
 
Mkuu Mimi ni pro NATO ila umechapia ,unatuangusha unajua ukiwa Pro NATO toa vitu vyenye uhalisia na si mahaba kama wazee wa Pro Russia ,samahani najua siyo wote ila ,kwenye vita kama hii usichukulie poa sana kupoteza askari 80,0000.
Inawezekana kwa namna flan ila hata vita ya dunia ya pili haukupoteza askari wengi hivyo kwa mda mfupi.
Nijaribu kusema vita ya kipindi hichi ni basically inalenga uchumi na propaganda za kujaribu kuvuta ushawishi na hamasa.
Hii inatokana na kupanuka kwa wigo wa taarifa (information technology) .
Hivyo usipende kukopi kitu na kukikazia jaribu kuwa neutral kwa jambo ambalo hulifahamu.
For now jeshi la Russia kwa data za uhakika ambazo hata ukipima mizani wamepoteza askari 25000 na Ukraine wamepoteza 36000.
Hii inatikana na data toka mshirika mablimbali ya kijasusu ikiwemo KGB,CIA,na FBI .
Hii vita itamalizika kwa Russian kubaki na Crimea na kuachia majimbo ya east waliyoyashikilia.
Kiufupi wamerudisha nusu asara ,maana wameuza ngano,mbolea na kuchukua vyuma huko.
Siyo mbaya maisha hayaendi kama tunavyopanga ila Russia wamejifunza kitu .
Pia West nao wamejifunza kitu .
Tupige dua haya mambo yaishe ,tufanye yetu bwana .
Tumesahau hadi tozo tunapigwa kwenye msosi.
Hiyo idadi ya 80,000 sio jamaa ndo kaitoa ila ni vyombo vya usalama vya Uingereza. Sasa kosa lake ni wapi lilipo? Pia unafahamu vile Russia walivyo waongo kwenye kutoa data?
 
Mkuu Mimi ni pro NATO ila umechapia ,unatuangusha unajua ukiwa Pro NATO toa vitu vyenye uhalisia na si mahaba kama wazee wa Pro Russia ,samahani najua siyo wote ila ,kwenye vita kama hii usichukulie poa sana kupoteza askari 80,0000.
Inawezekana kwa namna flan ila hata vita ya dunia ya pili haukupoteza askari wengi hivyo kwa mda mfupi.
Nijaribu kusema vita ya kipindi hichi ni basically inalenga uchumi na propaganda za kujaribu kuvuta ushawishi na hamasa.
Hii inatokana na kupanuka kwa wigo wa taarifa (information technology) .
Hivyo usipende kukopi kitu na kukikazia jaribu kuwa neutral kwa jambo ambalo hulifahamu.
For now jeshi la Russia kwa data za uhakika ambazo hata ukipima mizani wamepoteza askari 25000 na Ukraine wamepoteza 36000.
Hii inatikana na data toka mshirika mablimbali ya kijasusu ikiwemo KGB,CIA,na FBI .
Hii vita itamalizika kwa Russian kubaki na Crimea na kuachia majimbo ya east waliyoyashikilia.
Kiufupi wamerudisha nusu asara ,maana wameuza ngano,mbolea na kuchukua vyuma huko.
Siyo mbaya maisha hayaendi kama tunavyopanga ila Russia wamejifunza kitu .
Pia West nao wamejifunza kitu .
Tupige dua haya mambo yaishe ,tufanye yetu bwana .
Tumesahau hadi tozo tunapigwa kwenye msosi.
Hizo data mbona wametoa BBC mkuu....tena ni Intelejensia ya UK wameinukuu.

Hipo hivi mkuu vita imeigawa dunia na humu Pro Russia hawahitaji Nyuzi zenye fact tena ndio maana tunawachezesha ngoma za kufanana nazo
 
Uone ulivo kua Muongo unasema data zmetoka na FBI Wakati FBI ni inteligency ya ndani ya USA inteligence ya nje ni CIA.

the man kwenye huu uzi ametoa takwimu sahihi
japo mara ya mwisho nilisikia askar wa Russia wamefariki 45000. hii ya 80000. bado sijaithibitisha koz data zilizo tolewa toka kwenye chanzo changu zimehusisha walio kufa ndan ya Ukraine tu.
labda mtoa uzi alijumlisha na walio kufa Crimea na kwenye maeneo mengine yanayodhibitiwa na russia.
Huo ndio uwezo wa kufikiri wa hawa pro-NATO.

Mtu anakuambia data zimetolewa na FBI, hajui hata majukumu wala mipaka ya FBI katika utendaji wao.
 
Mkuu Mimi ni pro NATO ila umechapia ,unatuangusha unajua ukiwa Pro NATO toa vitu vyenye uhalisia na si mahaba kama wazee wa Pro Russia ,samahani najua siyo wote ila ,kwenye vita kama hii usichukulie poa sana kupoteza askari 80,0000.
Inawezekana kwa namna flan ila hata vita ya dunia ya pili haukupoteza askari wengi hivyo kwa mda mfupi.
Nijaribu kusema vita ya kipindi hichi ni basically inalenga uchumi na propaganda za kujaribu kuvuta ushawishi na hamasa.
Hii inatokana na kupanuka kwa wigo wa taarifa (information technology) .
Hivyo usipende kukopi kitu na kukikazia jaribu kuwa neutral kwa jambo ambalo hulifahamu.
For now jeshi la Russia kwa data za uhakika ambazo hata ukipima mizani wamepoteza askari 25000 na Ukraine wamepoteza 36000.
Hii inatikana na data toka mshirika mablimbali ya kijasusu ikiwemo KGB,CIA,na FBI .
Hii vita itamalizika kwa Russian kubaki na Crimea na kuachia majimbo ya east waliyoyashikilia.
Kiufupi wamerudisha nusu asara ,maana wameuza ngano,mbolea na kuchukua vyuma huko.
Siyo mbaya maisha hayaendi kama tunavyopanga ila Russia wamejifunza kitu .
Pia West nao wamejifunza kitu .
Tupige dua haya mambo yaishe ,tufanye yetu bwana .
Tumesahau hadi tozo tunapigwa kwenye msosi.
Kwa hiyo kuuza nafaka,chuma na mbolea ndo wamerudisha nusu ya hasara waliyopata??
Umepiga mahesabu urusi anatumia mabilion kiasi gani kila siku kufadhili vita vyake huko Ukraine??

Kuhusu wanajeshi waliopoteza maisha kila upande kwa mujibu wako umesema takwimu umezitoa KGB (pro-Russia) pamoja na CIA , ingependeza ungetupa chanzo Cha habari walipotoa hizo takwimu Ili tujiridhishe,
 
data za urusi hazijawa public acha kupotosha. siku watakapo publicizing tutazijadili. ila Russia wanaamini katika wingi wa askar. na askar wanaokufa ukraine wametoa takwim kua ni askar 9000 (wangeweza kusema chini ya hapo).
Russia wamekufa sana kutokana na uholela wao na tabia ya kujilundika mafungu mafungu.

unatoa Data toka mashirika ya kijasusi ambayo hata kwenye habari za ndani za Rusia hazipo. au wewe mwana KGB nini?

Ratio inaonesha
Russia atahitaji makombora 200 kumuua askar mmoja wa ukraine na askar wa Ukraine watahitaji kombora moja la Himars kusambaratisha ghala la silaha lilipo crimea lenye askari si chini ya 100.

Now Russia anasajili wapiganaji wapya
akili kumkichwa
Pro nato ubwabwa wanakufa huku wanachukua maeneo.
 
Himars za michongo hizo zimeshindwa kuikomboa khersan kuna daraja pale khersan limepigwa jumla na makombora 100 ya himars lakini mpaka leo halijaanguka na muda huu Warusi wameanza kuingia jiji la mykolaiv


Alafu Hilo shirika la ujasusi la uwingereza ndio lililo tuaminisha majeshi ya urusi yaliishiwa chakula
Ndio hao wamereport Leo kuwa Russia kapoteza wanajeshi 80,000,pia wakasema Kwa upande wa Ukraine wamepoteza wanajeshi 9000 yaani elfu 9!Hapo hapo nikapata kicheko🤣
 
Back
Top Bottom