ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,109
- 49,813
Kamatia ya Bunge ya Serikali za Mitaa imeelezwa kusikitika kwake na Kitendo Cha Tamisemi na Mkoa wa Katavi kutelekeza majengo ya Hospital ya Wilaya Kwa miaka 5 bila Kukamilika Wala Kutumika licha ya Kutafuna Bilioni 1.8.
My Take
Nyie Kamatia sijui Mko Nchi gani,Kuna wilaya nyingi tuu Zina majengo yametelekezwa na hayafanyi kazi ila Serikali Huwa inajigamba kwamba imejengwa hospital kadhaa wakati ukweli ni kwamba hakuna Huduma zinatolewa.
Huko kwenye Vituo vya Afya ndio kabisaa na vile vingi vimejengwa Vijijini hakuna kinachoendelea majengo yanaoza.
My Take
Nyie Kamatia sijui Mko Nchi gani,Kuna wilaya nyingi tuu Zina majengo yametelekezwa na hayafanyi kazi ila Serikali Huwa inajigamba kwamba imejengwa hospital kadhaa wakati ukweli ni kwamba hakuna Huduma zinatolewa.
Huko kwenye Vituo vya Afya ndio kabisaa na vile vingi vimejengwa Vijijini hakuna kinachoendelea majengo yanaoza.