Akiwa hajalewa tunalala A, akilewa tunalala E....
E mlalo wa vidume vinavyorudi vimelewa....
G ndo nzuri tupeane nafasi
Na huu uzito wa bondia, hapana mme wangu atabanwa na kifua....Mimi naona ungelala naye na F sana sana asubuhi ya weekend na kamvua kananyesha na kuna kaubaridi
Hehehehe watu wenye waume walevi utawajua tu.
Ndo hivo tena siku tukilewa wote sisemi tunalalaje.....
Na huu uzito wa bondia, hapana mme wangu atabanwa na kifua....
Ni ipi nzuri kwako?
Mkuu, HONGERA KWA KU-COPY KUTOKA KWENYE PAGE YA EATV