Mkuu wa wilaya ya Tanga ameamuru afisa elemu wa wilaya akamatwe, kisa wametofautiana misimamo. Je huu ni utawala bora?
Mawazo.
Mawazo.
Ni kuhusu majengo yaliyoachwa na mkandarasi aliyejenga barabara ya Horohoro? Nilisikia redioni DC anataka nyumba ziwe za waganga na Afisa elimu anasisitiza kuwa nyumba ziwe za waalimu kwani kiwanja ni cha shule.