Mkuu wa Wilaya UKerewe wajibika, gongo imezidi

Patriot

JF-Expert Member
Feb 11, 2008
5,698
4,693
Nimeingia ktk kisiwa hiki na kupokewa na wanywa gongo! Gongo! jamani kwetu ni gongo la mboto lakini hili la gongo la ukerewe nimeshangaa. Ninapouliza naambiwa OCD na hata mkuu wa Wilaya ni kama walisharuhusu unywaji huo.

NI kweli kwamba viongozi hawa na watendaji munabariki unywaji huu wa gongo tangu asubuhi hadi asubuhi?
 
Nadhani DC wa huko alitokea Songea.Jamaa jembe sana hana makuu.Atalifanyika kazi hilo jambo bila shaka.Huwa anapenda kujichanganya mtaani km si kiongozi wa kariba ya DC!
 
Hivi lile sakata la Rombo na pombe za kienyeji aina zaidi ya 10 na ulevi uliopitiliza iliishia wapi? UK nao wameingia kwenye chart ya gongo! Niliwahi sikia UK kuna visiwa zaidi 20 vile vidogo vidogo ambapo wavuvi wanaenda kuweka kambi za uvuvi huko! Wanapata supply ya pombe huko huko!
 
Nimeingia ktk kisiwa hiki na kupokewa na wanywa gongo! Gongo! jamani kwetu ni gongo la mboto lakini hili la gongo la ukerewe nimeshangaa. Ninapouliza naambiwa OCD na hata mkuu wa Wilaya ni kama walisharuhusu unywaji huo.

NI kweli kwamba viongozi hawa na watendaji munabariki unywaji huu wa gongo tangu asubuhi hadi asubuhi?
Aiseeee !!!
 
Back
Top Bottom