Vunjavunja
Member
- May 18, 2012
- 92
- 11
Ualimu ni fani ya watu
waliofeli, hivyo hawana haki ya kudai nyongeza ya mishahara, hii ni
kauli ya mkuu wa wiraya mbeya Dr. Norman Sigalla huu ni uzalilishaji wa
fani ya ualimu, na kudhalilisha fani zote hata yeye mwenyewe maana hata
kuteuliwa kwake na J.K wote walifundishwa na walimu nima mashaka na Dr
wote wenda ni kama wa J.k au wa kuiba vyeti mtu msomi hawezi kusema
hivyo.
Ualimu ni fani ya watu waliofeli, hivyo hawana haki ya kudai nyongeza ya mishahara, hii ni kauli ya mkuu wa wiraya mbeya Dr. Norman Sigalla huu ni uzalilishaji wa fani ya ualimu, na kudhalilisha fani zote hata yeye mwenyewe maana hata kuteuliwa kwake na J.K wote walifundishwa na walimu nima mashaka na Dr wote wenda ni kama wa J.k au wa kuiba vyeti mtu msomi hawezi kusema hivyo.
Ualimu ni fani ya watu waliofeli, hivyo hawana haki ya kudai nyongeza ya mishahara, hii ni kauli ya mkuu wa wiraya mbeya Dr. Norman Sigalla huu ni uzalilishaji wa fani ya ualimu, na kudhalilisha fani zote hata yeye mwenyewe maana hata kuteuliwa kwake na J.K wote walifundishwa na walimu nima mashaka na Dr wote wenda ni kama wa J.k au wa kuiba vyeti mtu msomi hawezi kusema hivyo.
Inaandikwa na kutamkwa WILAYA na sio WIRAYA!
kama ww ni mwalimu basi kweli hii fani ya watu waliofeli manake hii heading tu umeshindwa kuiandika kwa kiswahil fasaha sasa kwa nn tusisema kuwa ulifeli?