Mkuu wa Wilaya Biharamulo apewa Kichapo

Aliechapika ni das sio dc.nina uhakika niko bmulo.amengoleka jino jana ndo kala kipigo cha soldiers kutoka kikosi cha 23 kj
 
Kazi ya mkuu wa wilaya ni kukijenga chama ndni ya wilaya husika. Napia ni kuhakikisha unatengeneza mazingira ya kudhoofisha upinzani kwenye wilaya yako.
 
mbona habari zinapotosha? aliyepigwa ni yupi sasa, dc ama das? chonde chonde waandishi wa habari!!
 
Safi sana vijana JWTZ, mgevunja mbavu na miguu kabisa. Na sasa tutawapa kazi ya kuwapiga bakaro mafisadi wote mkianza na baba la mafisadi Mkapa.
 
good news! na watapigika sana mwaka huu, wananchi tushachoka na mapembe yao, mwaka wa 50 sasa tunanyanyasika dah! thanx jwtz
 
Safi sana vijana JWTZ, mgevunja mbavu na miguu kabisa. Na sasa tutawapa kazi ya kuwapiga bakaro mafisadi wote mkianza na baba la mafisadi Mkapa.
aliyepigwa ni yupi mkuu? ama nawewe unashangilia tu kama mbio za mwenge?
 
Yes,zawadi stahiki juu ya kuingilia kazi zisizo muhusu!!! Wanaviburi sana kwa kuwa wameteuliwa ma mkuu wa kaya,so hawatishiki kabisa,kichapo ni zawadi tosha!!!

Alikosa semina elekezi hivyo hajui utawala bora.APUMZIKE KWA AMANI
 
JWTZ wengi wako upande wetu. Akipatikana tu wa kutuhamasisha tukaingia barabarani mchezo umekwisha! NATAMANI WAMPE KICHAPO NA MH. PUNDA!
 
mwache APUMZIKE KWA AMANI

Mwache apate utam wa wanachopa wanaoandama kwa amani na kufanywa wao ni wavamizi kwa kupigwa na inapokuwa haitoshi wanatumia risasi za moto
 
Hao maskari nawapa hongera sana wafanyehivyo hata wanapo onamali za uma zina chukuliwa wagawe kichapo kama huyo mkuu wa (w)

Mbona hata mafisadi na vibaka wasingekuwepo!
 
Nasubiri siku watakayompa kipigo jk ndo niamini wamechoshwa na hali ya hii nchi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…