Hapa ndipo Meya anatakiwa apaanishe, hivi kuna mwanachi ataweza kulipa hizo ada, je mzabuni alipatikana kwa kufuata taratibu za manunuzi? Isije hizi mbwembwe zoooote zikawa ni jipu!Hii kampuni ya kukusanya taka ilishinda lini zabuni na kupewa hii kazi.
Bei za ni kubwa mno kila duka wanataka 20, 000 kwa mwezi na bado wanataka ulipie store 30, 000 kwa mwezi yaani taka peke yake watu wanatakiwa kulipa 50, 000 kwa mwezi.
Walikaa na nani kupitisha hizi bei.
Baada ya mkwere kumaliza miaka yake kumi sasa Na wewe akili zako zimeludi,sasa una ona mabaya wanayo fanya watawala!Hii kampuni ya kukusanya taka ilishinda lini zabuni na kupewa hii kazi.
Bei za ni kubwa mno kila duka wanataka 20, 000 kwa mwezi na bado wanataka ulipie store 30, 000 kwa mwezi yaani taka peke yake watu wanatakiwa kulipa 50, 000 kwa mwezi.
Walikaa na nani kupitisha hizi bei.
Nyie mlivyokuwa mnatafunia futari ikulu awamu iliyopita ni kikao gani kilichoruhusu kufanya ilkulu masijidHii kampuni ya kukusanya taka ilishinda lini zabuni na kupewa hii kazi.
Bei za ni kubwa mno kila duka wanataka 20, 000 kwa mwezi na bado wanataka ulipie store 30, 000 kwa mwezi yaani taka peke yake watu wanatakiwa kulipa 50, 000 kwa mwezi.
Walikaa na nani kupitisha hizi bei.
ndio maana nilisema nchi hii inamafunza watu wanaishi na kuneemeka na taka, RC Makonda katishia kuleta wachina tayari maroli mapya yameletwa, sasa wasiishie kuleta maroli tu walete na magari ya kufagia mchanga barabarani na mitambo ya kuchakata taka hawawezi wachina waje, uwezo wanao ni kuchezeana tu.Hapa ndipo Meya anatakiwa apaanishe, hivi kuna mwanachi ataweza kulipa hizo ada, je mzabuni alipatikana kwa kufuata taratibu za manunuzi? Isije hizi mbwembwe zoooote zikawa ni jipu!
Ni suala la muda tutaupata ukweliHawa ndo wachina?
Au wabongo wamechukua tenda wakakodisha wachina ndo maana garama zimekuwa juu?
Haya mambo ndio anapaswa ayafanyie kazi meya wa ukawa, cha ajabu analeta habari za kupaki magari kongowe tuje mjini kwa bodaboda.Hii kampuni imepitishwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu hamna vikao vyovyote vya madiwani kushiriki kuipitisha hii kampuni mbaya zaidi bei zao ndiyo msiba kwa wananchi mtu ana kibanda cha Tigo Pesa alipe taka 20, 000 kwa mwezi.
Mkuu hii nchi siyo ya baba yako mzazi na kujiona wewe ndiyo una haki ya kutoa maoni kisa nyumba ndogo ya Mbowe mimi kama Mtanzania na haki ya kuchangia chochote humu JF alimuradi sivunji sheria na kanuni za JF.Baada ya mkwere kumaliza miaka yake kumi sasa Na wewe akili zako zimeludi,sasa una ona mabaya wanayo fanya watawala!
Wewe JF ni kwako ni uwanja wa kupambana na Uislam wewe siyo wa kwanza utakufa utaaucha Uislam unaendelea kukua dunia nzima.Nyie mlivyokuwa mnatafunia futari ikulu awamu iliyopita ni kikao gani kilichoruhusu kufanya ilkulu masijid
KutupwaNaomba kuuliza.
Takatakata hizi zikichukuliwa huwa zinapelekwa wapi?
Yes, kutupwa wapi?Kutupwa
Sehemu ambayo hamna takatakaYes, kutupwa wapi?