Mkuu wa majeshi ya Houthi ameangamizwa!!

Mkuu wa majeshi ya Houthi ameangamizwa!!

We mwongo kwanza hiyo picha ni mohd al houthi
Huyu
Screenshot_20250325_033530_X.jpg
 
Brigedia Jenerali Hamdan Naji Saleh al-Jabali, afisa mwingine mkuu katika shirika la kigaidi la Houthi la Yemen aliuawa. Houth waanza kuonja joto la jiwe!!
Huyu sniper aliyekuwa amepewa hii mission aliitenda vizuri. Chuma cha kichwa alafu on the fore head meaning sniper alikuwa na taarifa kamili kabisa za mshakaji muda atakaotoka na atakapoelekea.
 
Inatakiwa sasa marekani iishapoti iliyo serikali ya Yemen ipambane na wanamgambo wa Houth
Unafikiri haijawahi kufanya hivyo yeye na mwenzake Saudi Arabia ? Haah migogoro ya mashariki ya kati ina kizungumkuti tofauti na unavyo jaribu kuitafsiri kirahi rahisi tu.
 
Back
Top Bottom