KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,853
- 4,853
Hapa umenena kweli.Hao taliban wamefanikiwa kuchukua madaraka kwa sababu wamarekani wamependa na wameamua iwe hivyo wasingetaka wasingeweza kwani waamerika wangewakabili kwa nguvu zote wala wasiingia viunga vya jiji la kabul.Ila wajiangalie wakianza kuweka nchi yao kuwa pepo ya vikundi vyenye siasa kali miaka mitatu mingi watafurushwa haraka sana na majet fighter ya wamarekani na washirika wao
Jamhuri ya kiislam imetud madarakani.Kwa wasiojua mwaka 2001 USA aliivamia AFGHANISTAN na kuipindua Serikali ya Taliban...na baadaye Wamarekani wakamuweka Karzai kuwa Rais wa mpito then akachaguliwa kuwa Rais...so Taliban wamerudisha Serikali yao.
ISIS Na Taliban Ni maji Na mafuta...ISIS Ni wasalafi Hawa Ni Godknows what.Gaidi ni gaidi tu.
Afghanistan inaenda kuwa makao makuu ya Alqaeda, ISIS, Al Shabab, Boko Haram n.k
Pia itakuwa kituo kikuu cha uandaaji na uuzaji madawa ya kulevya hasa HEROIN.
Marekani kawaachia kwasababu anapoteza Hela nyingi halafu hapati chochote...hata akikaa miaka 100 siku anayoondoka Tu Taliban wanachukua nchi, halafu mda wote kukaa huko Ni expensive Na anatumia Hela Za walipa Kodi...si Bora asepe Tu mapemaHao taliban wamefanikiwa kuchukua madaraka kwa sababu wamarekani wamependa na wameamua iwe hivyo wasingetaka wasingeweza kwani waamerika wangewakabili kwa nguvu zote wala wasiingia viunga vya jiji la kabul.Ila wajiangalie wakianza kuweka nchi yao kuwa pepo ya vikundi vyenye siasa kali miaka mitatu mingi watafurushwa haraka sana na majet fighter ya wamarekani na washirika wao
pia wewe punguza uzushi umejuaje kwamba walikuwa hawana shida yoyote?Punguza chuki kabla ya huyo marekani kuingia Afghanistan walikuwa na maisha yao chini ya Taliban bila matatizo yoyote
kwan wongo asilimia 98 ya magaidi ni waislam.haki gan hadi kutoa uhai wa watu bhna.We si ndo ulivyofundishwa na mchungaji wako mtu akiwa na ndevu nyingi akipigania haki yake tena mtu mwenyewe muislam basi huyo gaidi,, wala atukushangai
jamuhuli ya machinja chinja ambayo hata ww hutaki kuishi kwenye kama hiyo.Jamhuri ya kiislam imetud madarakani.
Naomba kujua kama Saddam Hussein alikua ni TalibanKwa wasiojua mwaka 2001 USA aliivamia AFGHANISTAN na kuipindua Serikali ya Taliban...na baadaye Wamarekani wakamuweka Karzai kuwa Rais wa mpito then akachaguliwa kuwa Rais...so Taliban wamerudisha Serikali yao.
Ila hawa masela ni wabishi Sana wamekomaa mwanzomwisho Hadi wamechukua nchi
Mkuu anza kutoka roadNaoenda sana harakati za Taliban,hawana kelele nyingi ila wanapiga kazi kiuhakika,sio hapa kwetu kelele nyiiiingiii na harakati za nyuma ya Keybodi "TUNATAKA KATIBA MPYYAA" wanasemea chumbani.
Watu wa idifu lugha tatizoTupe kwa kiswshili
We uliijua Taliban Taliban kabla ya mmarekani kuingia pale?pia wewe punguza uzushi umejuaje kwamba walikuwa hawana shida yoyote?
Ila wamarekani wanaoua watu Iraq,libya sio magaidi acha kukariri wewekwan wongo asilimia 98 ya magaidi ni waislam.haki gan hadi kutoa uhai wa watu bhna.
ndio. taliban walianza na warusi kabla ya malekan.We uliijua Taliban Taliban kabla ya mmarekani kuingia pale?
Aliyemvamia mwenzie kwenye nchi yake mrusi au mtaliban?ndio. taliban walianza na warusi kabla ya malekan.
wana au watu wap?wanauwa magaidi maana ninyi si mme shindwa na hamuwezi kuwa kuwashuhulikia.Ila wamarekani wanaoua watu Iraq,libya sio magaidi acha kukariri wewe
acha unafki mkuu iyo sharia unayo shabikia na hakika kama ingetumika wewe usingekuwa mzima sasaivi.We uliijua Taliban Taliban kabla ya mmarekani kuingia pale?
Kwa hiyo wale maelfu ya watu waliokufa Libya na iraq ni magaidi si ndio?wana au watu wap?wanauwa magaidi maana ninyi si mme shindwa na hamuwezi kuwa kuwashuhulikia.