Tetesi: Mkuu wa Idara ya Tehama (IT) wa TRA Makao Makuu Atoweka

Sijaridhika na " My take " yako , ushahukumu tayari .
 
Lugumi alishawahi kusema "game hili halihitaji hasira". jamani mpaka hapo tu bado hamuelewi?. ngoja siku tutamuuliza jpm kama hili jipu hakuliona?
 
Unajua rais alinishtua kuwa TAMISEMI kulikuwa na syndicate ya watu 'kuuza' ukurugenzi...!! Hili la kupotea huyu...nalo kizungumkuti
 
mkuu unaghazab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…