Mkuu wa Home Shopping Center atembelewa na mkuu wa mkoa wa Dar

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
1466070596550.jpg
 
hela kweli ni noma..

jamaa alimwagiwa tindi kali lakini karudi mzimaaa...

hapo angekuwa wa kutibiwa hospital zetu za bongo ingekuwa kilema au kipofu kabisa...

huyo ndio gsm mzee wa kila biashara...

kodi hawalipi na bado mnajipendekeza kwake...
 
Yale makontena ya wachaga wa k,koo aliyokuwa anayatoa BURE bandarini vipi ameshalipa USHURU alikwepa kulipa? au kwa kuwa alishirikiana na familia KUBWA ndio mchezo umekwisha?
 
kuna hospitali na mfano wa hospital..

huko alipotibiwa hakuna operation ya mguu ifanyike ya kichwaaa..

wewe si unaona nyumban kwake tu palivyo pazuri kama ikulu...

nyumba kama hotel

Mzee anaendesha bentley huyo,alimwagiwa tindikali lakini nkipiga naye picha naweza kuonekana mimi ndo nliemwagiwa tindikali.
 
hela kweli ni noma..

jamaa alimwagiwa tindi kali lakini karudi mzimaaa...

hapo angekuwa wa kutibiwa hospital zetu za bongo ingekuwa kilema au kipofu kabisa...

huyo ndio gsm mzee wa kila biashara...

kodi hawalipi na bado mnajipendekeza kwake...

Sio huyo aliyemwagiwa tindikali, aliyemwagiwa tindikali full miwani ya jua hata alfajiri
 
Back
Top Bottom