Mkutano wa vijana Riverside Hall

Mkutano wa vijana Riverside Hall

mkola

Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
19
Reaction score
4
Mkutano wa vijana ubungo riverside unaozungumzia changamoto za vijana ktk ajira mgeni rasmi waziri wa madini mkutano unaendelea. Update Mkutano umeisha pale maeneo ya riverside ulijumuisha vijana ote wahitimu na wanaoendelea na vyuo vikuu nchi ila kilichoboa wachangiaji wengi walibez kihitikadi za kisiasa wakaufanya mkutano kama wakisiasa
 
Vijana lazima waamini kuwa bodaboda haziwezi kubadilisha maisha yao-kutoka kwenye dhiki kwenda kwenye faraja! Ukombozi pekee ni kwenye shughuli za uzalishaji-kilimo, viwanda vidogo vidogo nk. Mtaji mkubwa ni elimu na uthubutu. Huu udanganyifu wa kwamba bodaboda zitawasaidia, ni uongo!!!
 
Back
Top Bottom