Mkutano wa UKAWA/CHADEMA Arusha kesho

Mkutano wa UKAWA/CHADEMA Arusha kesho

Daffi Jr

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2011
Posts
3,824
Reaction score
909
Kwa taarifa zilizonifikia jioni hii kutakuwa na mkutano mkubwa hapa jijini Arusha hapo kesho tarehe 8 saa 8 mchana!!Mkutano huo mkubwa kabisa utahudhuriwa na Mh Lissu;Mdee;Machali;Sugu;Lema;&etl pamoja na viongozi wa Chadema Arusha!!!Mkutano utafanyika katika kiwanja cha semunge karibu kabisa na soko la kilombero!!Tutawajuza update!!!Nyote mnakaribishwa
Wana JF wa Arusha karibuni kwa update kesho!!!!!!
 
Gam tulio mbali tusikose update garma
 
Kesho Okt 8, Sa8 kuna Mkutano Viwanja vya Semunge Kilombero, Lissu, Mdee, Machali, Kiwelu, Lema, Sugu, Viongozi Mkoa, Wilaya watakuwepo, FUTA DELETE KABISA CCM
 
du hii kali, semunge karibu kabisa na soko la kilombero? sasa uko arusha au umeambiwa tu kuna soko linaitwa kilombero? rudi kajifunze kuelekeza wewe
 
Back
Top Bottom