Daffi Jr
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 3,824
- 909
Kwa taarifa zilizonifikia jioni hii kutakuwa na mkutano mkubwa hapa jijini Arusha hapo kesho tarehe 8 saa 8 mchana!!Mkutano huo mkubwa kabisa utahudhuriwa na Mh Lissu;Mdee;Machali;Sugu;Lema;&etl pamoja na viongozi wa Chadema Arusha!!!Mkutano utafanyika katika kiwanja cha semunge karibu kabisa na soko la kilombero!!Tutawajuza update!!!Nyote mnakaribishwa
Wana JF wa Arusha karibuni kwa update kesho!!!!!!
Wana JF wa Arusha karibuni kwa update kesho!!!!!!