KHALFANI 86
Member
- May 16, 2020
- 14
- 24
Wazira wa katiba na Sheria akiwa kwenye uwakilishi wake ndani ya majukumu yake. Watanzania tunajivunia kuwa na jemedari wetu na shukrani za dhati zimuendee mheshimiwa Raisi John Magufuli kwa kulitupa jicho lake kwa Mwingulu hii ni kwa manufaa ya Taifa letu