Mkutano wa nchi za Asia (ASEAN) kuhusu Korea Kaskazini kufanyika Ufilipino

comrade igwe

JF-Expert Member
Jan 12, 2015
7,295
3,950
Mkutano mkubwa wa nchi za Asia yaani maarufu kama "ASEAN" unafanyika leo mjini manila nchini Ufilipino, mada itakayotawala katika mkutano huo itakua kujadili mgogoro wa Korea Kaskazini na Marekani, huo ni mkutano wa kwanza wa kimataifa kufanyika nchini humo na utaongozwa na Rais wa Ufilipino Rais Rodrigo Duterte
 
ASEAN wajadili hili jambo huenda suluhu ikapatikana. Eti western geologists wameanza kusema kuwa majaribio ya nyuklia ya N/korea yatasababisha mlipuko wa Volkano kutoka mlima paektu ambao uko mpakani mwa china na N/korea. Mimi najiuliza mbona majaribio ya Kinyuklia ya U.S na wake zake huwa hayasababishi mlipuko wa volkano? Ni kosa kuacha mwanao akalelewa/kufundishwa na western people. Source;THE SUN(UK)
 
ASEAN wajadili hili jambo huenda suluhu ikapatikana. Eti western geologists wameanza kusema kuwa majaribio ya nyuklia ya N/korea yatasababisha mlipuko wa Volkano kutoka mlima paektu ambao uko mpakani mwa china na N/korea. Mimi najiuliza mbona majaribio ya Kinyuklia ya U.S na wake zake huwa hayasababishi mlipuko wa volkano? Ni kosa kuacha mwanao akalelewa/kufundishwa na western people. Source;THE SUN(UK)
kama utaki mwanao asome nchi za magharibi basi mpeleke iraq akasome kiarabu na quran+kujitoa muhanga.
 
kizazi cha kizungu ni kizazi onevu sana, Bahati mbaya ndo tunaambiwa ni dunia ya kwanza hiyo, bora tubaki dunia ya Tatu tu sie.
 
kama utaki mwanao asome nchi za magharibi basi mpeleke iraq akasome kiarabu na quran+kujitoa muhanga.
ulishakariri kuwa mtu akipinga maovu ya nchi za magharibi bhasi huyo atakuwa muislamu, acha kujifariji wewe siyo kila anayeipinga chadema ni ccm wengine ni wapinzani wa ccm lakini pia hawapendi sera za chadema.
 
Back
Top Bottom