Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Tuwe macho sana na mbinu za CCM za kuvuruga amani. Mliona jinsi vibaraka wa Chenge walivyojaribu kuvuruga mkutano wa CHADEMA.
CCM wakiona wanazidiwa, wataanza Plan B yao ambyo ni VURUGU. Wamezoea kuhodhi madaraka. Na kati yao wapo mafisadi wengi sana ambao wanaogopa CHADEMA ikishinda Urais wanaweza kuajibishwa. Tuwe macho nao. Kati yao kuna waliopata shinikizo la damu kwa kuangalia mambo yalivyokuwa Arusha. Na wanajua hakuna HONGO iliyotumika kufanya watu waje.
Tumechoka utawala usio na ahueni wa CCM. Sasa tunataka mabadiliko.
CCM wakiona wanazidiwa, wataanza Plan B yao ambyo ni VURUGU. Wamezoea kuhodhi madaraka. Na kati yao wapo mafisadi wengi sana ambao wanaogopa CHADEMA ikishinda Urais wanaweza kuajibishwa. Tuwe macho nao. Kati yao kuna waliopata shinikizo la damu kwa kuangalia mambo yalivyokuwa Arusha. Na wanajua hakuna HONGO iliyotumika kufanya watu waje.
Tumechoka utawala usio na ahueni wa CCM. Sasa tunataka mabadiliko.