Half London
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 261
- 115
- Thread starter
- #21
Mke wa mh. Dr. Slaa ndiye gmetoka kuongea sasa hivi na kaingia mzee mwenyewe Slaa.
Habari wana Jf? Niko hapa Kigamboni maeneo ya Mnadani,nasubiria mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Utaanza hivi punde.