Mkutano wa CHADEMA leo Kigamboni

Mkutano wa CHADEMA leo Kigamboni

Half London

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2014
Posts
261
Reaction score
115
Habari wana Jf? Niko hapa Kigamboni maeneo ya Mnadani,nasubiria mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Utaanza hivi punde.
 
Mh.Dr. Slaa anamalizia kuongea na wazee wa tawi la chama,ofisi ya Tungi Kigamboni. Raia waliochoka na ufisadi wanazidi kuongezeka maeneo ya Mnadani.
 
Ccm wanasema kura zao ziko majumbani siyo kwenye majukwaa "
 
Watu wamefurika na wanazidi kuongezeka, muda si mrefu mkombozi wa watanzania atawasili hapa. Watu wanamgoja kwa hamu wengine wamekuwepo tangu asubuhi wakimgojea mkombozi wao.
 
dakika chache kiboko ya magamba, dr slaa atawasili
 
Boda boda za kumwaga wakimsindikiza Dr.Slaa. Simu yangu ya torch siwezi kupiga picha.
 
Viongozi wa dini wanaombea mkutano wetu huu wa CHADEMA.
 
Ccm wapo watoto tu. Wanapitapita hapa kujaribu kutuharibia lakini hawataweza. WASHINDWEEE....
 
Back
Top Bottom