Half London
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 261
- 115
Habari wana Jf? Niko hapa Kigamboni maeneo ya Mnadani,nasubiria mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Utaanza hivi punde.
ccm wakipoteza kigamboni hawana wa kumlaumu!
Ccm wanasema kura zao ziko majumbani siyo kwenye majukwaa "
Ccm wanasema kura zao ziko majumbani siyo kwenye majukwaa "
Habari wana Jf? Niko hapa Kigamboni maeneo ya Mnadani,nasubiria mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Utaanza hivi punde.
tupo wote mkuu nutakusiadia kureport
Boda boda za kumwaga wakimsindikiza Dr.Slaa. Simu yangu ya torch siwezi kupiga picha.