Mkutano wa 39 wa wakuu wa nchi za SADC - Dar Es Salaam Tanzania

Sasa mbona anasifiwa sana Magufuli utafikiri yeye ndio amefanya mkutano huu ufanyikie Tanzania
Wasifiaji ni watanzania, angalia kwenye forums/social media kwenye nchi nyingine kama wanamsifia ila kwa mgeni kumsifia mwenyeji mara nyingi huwa ni given
 
Mkuu naomba kuuliza.. wamehudhuria marais wangapi mkutano huu
 
Nataka kujua idadi ya marais walio hudhuria huu mkutano
Marais wa nchi 11 wamehudhuria mkutano wa kilele wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) unaofanyika jijini Dar es Salaam, Nao ni:

John Magufuli (Tanzania),
Cyril Ramaphosa (Afrika Kusini),
Azali Assoumani (Comoro),
Danny Faure (Shelisheli),
JoaoManuel Goncalves (Angola).
Edgar Lungu (Zambia),
Felix Tshisekedi (DRC),
Andry Rajoelina (Madagascar),
Emerson Mnangagwa (Zimbabwe),
Filipe Nyusi (Msumbiji) na
Dk Hage Geingob (Namibia).
 
Watano wana udhuru etiee
 
Haya mambo nayasikia tu huko kwa wengine hebu ngoja tuone safari ikianza kwa driver kuingiza gear.
 
Nahitaji sana soft copies za hizo speech (Ya Dr. Tax na Dr. Magufuli)
 
Write your reply...SADC ni genge la majambazi tu ...sema viongozi wake wanavaa suti na kulindwa na mitutu
 
Magufuli anawaongoza maRais wa nchi zaidi ya kumi
Hakika tumepata mchapa kazi
Magufuli oyeee for the next 40 years. Jamani tuwe wakweli. Nchi ilikuwa inanuka uozo. Huyu jamaa anajitahidi sana kufagia. Hata hivyo there is so much dirty, it will take 30 years to clean. that is why we need John for the next 40 years.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…