Mkutano Mkubwa wa Hadhara CHADEMA-PUGU

Mkutano Mkubwa wa Hadhara CHADEMA-PUGU

Gimbi

Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
10
Reaction score
2
Peoples......?Power!leo tar 7/9/14 Kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara Kata ya Pugu utakaofanyika eneo la Pugu Kajiungeni kuanzia saa 8 mchana na utahutubiwa na viongoz wa Kitaifa hivyo ukiwa mwanachama,mpenzi,mkereketwa ama mwananchi mpenda Demokrasia ya Ukweli na Mabadiliko unaalikwa njoo tuungane Pamoja katika harakati za Ukombozi wa Taifa Letu.Karibu wewe na Jamaa zako wote.Ahsante
 
Ahasante kwa taarifa sisi wengine tupo Kimara tuleteeni usafiri.
 
nchi imeshakombolewa wewe labda mjikomboe ninyi wenyewe na babu slaa anayepora wake za watu
 
Ahasante kwa taarifa sisi wengine tupo Kimara tuleteeni usafiri.

chama chetu hakijazoea kubeba watu kwenye malori ili wahudhurie kwenye mikutano. Kila mtu atatumia akili na miguu yake mwenyewe kufika kwenye mkutano
 
nchi imeshakombolewa wewe labda mjikomboe ninyi wenyewe na babu slaa anayepora wake za watu

Mkuu wewe ndio huyo mwanamke.aliyeporwa na Dr Slaa nini ?
Rudi kwa mumeo basi,mbona king'ang'anizi hivyo ?
 
Back
Top Bottom