Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,993
Mkurugenzi wa Shule ya Mus'ab English Medium,akiuka maagizo ya Wizara ya Elimu,ya kutorudisha wanafunzi waliopata wastani chini ya 50,wa darasa la sita kwenda la saba,pamoja na madarasa mengine.
Wazazi wengi waliomfuata kuhusiana na kurudishwa darasa,hataki kuwasikiliza,mkurugenzi huyu ambaye sio mtanzania,anaitumia nafasi yake kuwakomoa wazazi,baada ya kupandisha ya ada kwa kiwango ambacho wazazi wengi hawakimudu,na wakati shule hiyo iko chini ya shirika,la African Muslim Agency,ambalo limeandikishwa Tanzania,likiwa kama shirika la misaada.
Twaomba Wizara ya Elimu,iwasaidie wazazi hawa,wanaohusika tunawaomba wafuatilie suala husika.
Wazazi wengi waliomfuata kuhusiana na kurudishwa darasa,hataki kuwasikiliza,mkurugenzi huyu ambaye sio mtanzania,anaitumia nafasi yake kuwakomoa wazazi,baada ya kupandisha ya ada kwa kiwango ambacho wazazi wengi hawakimudu,na wakati shule hiyo iko chini ya shirika,la African Muslim Agency,ambalo limeandikishwa Tanzania,likiwa kama shirika la misaada.
Twaomba Wizara ya Elimu,iwasaidie wazazi hawa,wanaohusika tunawaomba wafuatilie suala husika.