2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,616
Hujui hicho ni kifaa cha jeshi? Jamaa akipiga sehemu anaichukua taasisi na kuigicha sehemu isiyokaguliwa na CAG mfano ni ATCL..
Mnunuzi wa kivuko mv bwagamoyo hayuko salama, atie maji kwa nywele kichwani.