Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
Leo asubuhi katika mahojiano kati ya mbunge wa Arusha mjini bwana Godbless Lema amesema kuwa mkurugenzi wa jiji la Arusha pamoja na meya wake wameitisha kikao cha kupanga bajeti ya jiji la Arusha ambapo kwa taarifa alizopata ni kuwa madiwani wamegaiwa makashabrashi ya kuhusu bajeti jana jioni na kikao hicho kitafanyika kesho Ijumaa. Bw. Lema anahoji kuwa kwa kawaida makashabrasha hutolewa wiki moja kabla ya kikao sasa iweje mkurugenzi atoe kwa mda mfupi? Je madiwani watapata wapi mda wa kupitia kurasa zaidi ya mia tano na kuchangia bajeti kwa ufasaha?
Aidha lema amesema ameshawasiliana na viongozi wa juu wa serikali kuhusu jambo hilo pia atakutana na waziri mkuu na kujadiliana na kama itashindikana wataitisha mgomo na maandamano kwani maandamano hayatogoma hadi haki itakapopatikana.
SWALI NI KWAMBA JE,MKURUGENZI PAMOJA NA MEYA HAWAJUI SHERIA YA VIKAO VYA BAJETI? JE KITU GANI KINACHOWAONGOZA?
Aidha lema amesema ameshawasiliana na viongozi wa juu wa serikali kuhusu jambo hilo pia atakutana na waziri mkuu na kujadiliana na kama itashindikana wataitisha mgomo na maandamano kwani maandamano hayatogoma hadi haki itakapopatikana.
SWALI NI KWAMBA JE,MKURUGENZI PAMOJA NA MEYA HAWAJUI SHERIA YA VIKAO VYA BAJETI? JE KITU GANI KINACHOWAONGOZA?