Jamani wanajamvini naomba nijue nini maana ya MKURABITA maana kuna muda naisikia kuna muda haipo juzi hapa nimesikia imeshinda tuzo ya kimataifa ya Public Service. ila hapa kwetu hawatambuliki kama ambayo ilivyo hapa nchini kwetu.
Ni mkakati wa kuongeza umasikini, rushwa, aibu, biashara haramu tanzania...huo ndio mkurabita na yes wamepewa tunzo ya ufanisi bora wa ufilisi tanzania