Kwenye kipindi cha mzalendo kinachorushwa na ITV, siku za karibuni alihojiwa FAHAMI DOVUTWA na MREMA LYATONGA, nakumbuka waliponda sana muungano wa UKAWA kwa kuuona ni kiini macho mpaka DOVUTWA akaapa kwamba kama UKAWA wataachiana majimbo na kusimamisha mgombea mmoja basi kura zake yeye DOVUTWA zote za uraisi na ubunge wapewe UKAWA. kigezo walichotumia kuona ni vigumu UKAWA kusimamisha mgombea mmoja ni jinsi ya kugawana ruzuku na nafasi za viti maalumu.
Sasa UKAWA imesharuka viunzi vyote hivyo na wamegawana majimbo na kusimamisha mgombea mmoja KIROHO SAFI. Naomba kwa yeyote anayeonana na DOVUTWA amkumbushe ile ahadi aliyeitoa ITV asiivunje la sivyo hatutamuamini tene kwa lolote atakalolisema.
Sasa UKAWA imesharuka viunzi vyote hivyo na wamegawana majimbo na kusimamisha mgombea mmoja KIROHO SAFI. Naomba kwa yeyote anayeonana na DOVUTWA amkumbushe ile ahadi aliyeitoa ITV asiivunje la sivyo hatutamuamini tene kwa lolote atakalolisema.