Nilikuwa nafuatilia sana thread za huyo jamaa anaitwa mkuki moyoni,
zilikuwa na utamu kama za malaria sugu vile, ila amaepotea ghafla simuoni.
Nilitegemea ampe ms kampani, au na yeye kafungwa maisha?
Mods uwe unatupatia taarifa kwa waliofungiwa.
NAKUMBUKA SIKU ALIPOMBANA DADA REGIA MTEMA HADI REGIA AKAKIRI KUWA HECHE ANAFADHILIWA NA MATIKO NA LEMA.
hahahahahaaaaaaaaaaaaaa, kama umefungiwa basi tunaomba ukirudishwa uwe na adabu.
zilikuwa na utamu kama za malaria sugu vile, ila amaepotea ghafla simuoni.
Nilitegemea ampe ms kampani, au na yeye kafungwa maisha?
Mods uwe unatupatia taarifa kwa waliofungiwa.
NAKUMBUKA SIKU ALIPOMBANA DADA REGIA MTEMA HADI REGIA AKAKIRI KUWA HECHE ANAFADHILIWA NA MATIKO NA LEMA.
hahahahahaaaaaaaaaaaaaa, kama umefungiwa basi tunaomba ukirudishwa uwe na adabu.