Umenena vema sana mkuu,lakini kuna maswali kadhaa nimeshindwa kuyapatia majibu;
1.Kwa kuwa malengo ni kuwasaidia wanyonge wa mikoa uliyoitaja (Dar na mengine tarajali) vipi kwa mikoa mingine kama Morogoro n.k
2.Mchanganuo wa namna mnavyowasaidia hao masikini,kwa mfano cement,mnakopesha kwa bei gani,na kwa muda gani?
3.Kwa upande wa wananchi wasio na ajira,mnawakopesha kwa vigezo gani!!?
Kwa sasa maswali yangu machache ni hayo,naendelea kutafakari wema wenu mkuu kuwasaidia raia wa Tanzania,MUNGU na awabariki sana kama nia yenu ni njema kwa masikini wa taifa letu.