Mkopo wa nyumba

Mkopo wa nyumba

SyntaxReaper

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2017
Posts
364
Reaction score
293
Habari wadau,nahitaji kujua vigezo na masharti ya benki zetu kwny huduma hii ya mkopo wa kununua nyumba,kujenga su kumalizia,nimejaribu kugoogle cjapata.

Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nnavojua mm ni lazima uwe na biashara itakayokidhi vigezo vya kurudisha huo mkopo ulioomba kununulia hiyo nyumba na istoshe ukiipenda nyumba unaelewana na mteja benk wanaenda kuikagua wanakunuulia lkn wanabaki na document zote na ni lazima Ila pia piashara yako nayo itakuwa bond bank

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nnavojua mm ni lazima uwe na biashara itakayokidhi vigezo vya kurudisha huo mkopo ulioomba kununulia hiyo nyumba na istoshe ukiipenda nyumba unaelewana na mteja benk wanaenda kuikagua wanakunuulia lkn wanabaki na document zote na ni lazima Ila pia piashara yako nayo itakuwa bond bank

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom