Hizi kazi ni ngumu jamani!!!...kadi aache na gari aache atafanyaje mishemishe zenyewe?....na ukikubali kadi bila gari mtu umefahamiana naye JF tu ni mtihani pia!!! Ukiniacha unaniogopa, ukinipiga unanionea!! Unaonaje ungeenda Benki mkuu, au ukamwona rafiki au ndgu wa karibu!
Mkuu, kuna jamaa wapo hapo katibu na kwa warioba, wanakopesha kwa rba kidogo, lakini lazima uache gari na kadi, mnakubaliana unarudisha lini, na unachukua gari yako, au kama vipi unakuwa unawaletea riba yao, unaendelea kuzungusha mtaji. wana yard kubwa tu, na hawagusi gari.
Jamani, nadhani nitakuwa nilieleweka kuwa pesa inahitajika kwa haraka, ndo maana nikaomba msaada wenu. hoja zote nimezisoma na kuzielewa, lakini naamini gari ya kadi itafaa, na gari utaiona, naweza pia kuweka mdhamini. mimi ni mfanyakazi na biashara pia., email yangu, chrisjohnjune@gmail.com
.
ndugu Mlugwanza, naomba msaada wako, ila tu si kwa kuacha gari, ila nina nyumba, ambayo nipo tayari uione, pia uwe na shahidi. Unajua tena gari ndio natembelea, ila kadi nitakupa.