Mkopo wa laki 5 unatafutwa

Joined
Jul 18, 2012
Posts
69
Reaction score
25
Habari yenu JF members, nina shida ya laki 5 mwenye nayo naomba anikopeshe hata kwa riba nitashukuru sana. Nitairudisha baada ya 2wks.
 
Dah.. kudadadeki JPM kiboko kukamua majipu kwa siku 100 tu watu wamepagawa hadi wanakuja kuomba mkopo wa laki5 JF wakati siku100 zilizopita ndiyo ilikuwa pocket money ya kuendea bar
 
Kama unadhamana njoo inbox..hata bila kuandikishiana ntakuamini tuu nduguyangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…